Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,446
- 5,461
niqqas hoe;
Mie nakuuliza; ukitaka kuonja na kuusikia utamu wa asali, jee, unailamba kwenye ncha ya kidole au unaishindilia kooni?
Ukipata jibu usimwambie mtu. Siri yako.
Bibi nashukuru kwa kunitoa sintofahamu, make sikuzote nimekuwa nikijiuliza kikongwe kama ww hukosi kuwa kungwi!!
usinambie lakn kama huwa unajihusisha na ukeketaji pia!!.
Last edited by a moderator: