Mambo best ? nilikwambia ukabisha Liz kesha rudi kwa Rev. unaweza kuipunguza mioyo kwenye signature now lol!Kumbe watu walisha susa . . . .
Mambo best ? nilikwambia ukabisha Liz kesha rudi kwa Rev. unaweza kuipunguza mioyo kwenye signature now lol!Kumbe watu walisha susa . . . .
😛anda:😛anda:😛anda:Jamani, kuna madada mmjo nilimdondokea sana, nikatia timu watu wangu, cha ajabu akadai kusumbus sana mara ninawangu, mara sipendelei mambo hayo, mara nipo busy sina muda, mara sijui nini n.k n.k. Nilipo amua kuacha sasa analaumu eti nilikuwa nampima au? Mbona kimya changu kimezidi? Sasa nauliza kwanini alikuwa nanata kwa maneno kibao, usumbufu n.k wakati anapenda????????????????😛anda:😛anda:😛anda:
Mambo best ? nilikwambia ukabisha Liz kesha rudi kwa Rev. unaweza kuipunguza mioyo kwenye signature now lol!
Dena hii ndio lugha ya vijana wetu wa enzi za JK na nikitumia utabiri wangu atakuwa form 2,wa form 4 hao tayari wataalam lol!
Elia hebu soma hapa chini
The Following 2 Users Say Thank You to Elia For This Useful Post:
Elia I'm taking u out for dinner tonight..
Sante sana my dear..
yaani hii thread ifungwe tu
Maana kazi kwisha..
anayetaka kujua zaidi
Am PM Ellia
sawa mwl. wa kiswahili nadhani jamaa hatarudi tena.................ila usimchapeMwanamke kuringa babu eehhh.
Halafu ukiandika hebu jaribu kurudia kusoma maana mie nimejitahidi tu kuelewa kinguvunguvu maana maneno yamekatika mengine hayaeleweki kabisa hapo chini nimeweka red.
Jamani, kuna madada mmjo nilimdondokea sana, nikatia timu watu wangu, cha ajabu akadai kusumbus sana mara ninawangu, mara sipendelei mambo hayo, mara nipo busy sina muda, mara sijui nini n.k n.k. Nilipo amua kuacha sasa analaumu eti nilikuwa nampima au? Mbona kimya changu kimezidi? Sasa nauliza kwanini alikuwa nanata kwa maneno kibao, usumbufu n.k wakati anapenda????????????????
vyote sawa tu....kama mtu anakuchukulia malaya hata uki-play hard to get atakufikiria hivyo na intention haibadilishwi kwa ku-play hard to get....kama mwanaume anakupenda itabaki kuwa anakupenda na kama alikuwa anataka ku-hit and run hata after two years atafanya hivyo......!!
Nafikiri ni vizuri mwanamke akawa wazi kuwa nahitaji muda kukufahamu na kuamua kama niwe na wewe au lah....lakini kudanganya kuwa una wako,sijui nini then unaanza kulalamika yule mwanaume anapokuwa amekata mahusiano ni aina fulani ya wendawazimu....thats not playing hard to get....may be tanzanian way.....ni kujidanganya mwenyewe!!!:washing:
Susy wewe haya bana.
Halafu upunguze kuringa na wewe
Michelle mpenzi you have just spoken my mind....yaani right there to the point
Nidai leo mtoko jioni...kiti moto na some valeurs....and anything you wish of course...saa nyingine tunaishi mno kwenye utopia
Nenda kule complains binti anashinda huko akiomba Rev. afungiliwe, imekula your side kamanda hahaha!Mkuu, hebu nimwagie ushahidi nione?!!
Kuna mdogo wangu nimemwomba aache kunitumia sms ntakuwa nampigia naelewa nusu tu hahaha!Yaani wameharibikiwa kabisa kanichanganya kweli ikabidi niombe usaidizi kwa Susy
mpenzi una tabia ya kunitoroka ule muda wa mtoko unapofika....juzi nimesubiri valeur hujaniletea nikaenda kukopa kwa mangi.....leo naoga kuanzia sasa,naomba usiniangushe.....i have another wish,i will tell you after i have some valeur in the evening!!
Mbona mapigo ya moyo yanazidi baada ya kusoma hii lol!.....i have another wish,i will tell you after i have some valeur in the evening!!
Mimi mpenzi asiye ringa kidogo wala hatudumu,hainogi kabisa hahaha!DA, acha susy aringe... halafu kuringa huwa kunawaongezea thamani na urembo, asiyeelewa anadhani kulinga ni kitu cha ajabu sana, but what i understand kuringa ni pamoja na kuwa selective! You take what you think suit you.