Sinai
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 288
- 47
anda:anda:anda:Jamani, kuna madada mmjo nilimdondokea sana, nikatia timu watu wangu, cha ajabu akadai kusumbus sana mara ninawangu, mara sipendelei mambo hayo, mara nipo busy sina muda, mara sijui nini n.k n.k. Nilipo amua kuacha sasa analaumu eti nilikuwa nampima au? Mbona kimya changu kimezidi? Sasa nauliza kwanini alikuwa nanata kwa maneno kibao, usumbufu n.k wakati anapenda????????????????anda:anda:anda: