CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
Nenda kule complains binti anashinda huko akiomba Rev. afungiliwe, imekula your side kamanda hahaha!
:car::car::car::car::car::car::car::car:
Nenda kule complains binti anashinda huko akiomba Rev. afungiliwe, imekula your side kamanda hahaha!
Mambo best ? nilikwambia ukabisha Liz kesha rudi kwa Rev. unaweza kuipunguza mioyo kwenye signature now lol!
Nenda kule complains binti anashinda huko akiomba Rev. afungiliwe, imekula your side kamanda hahaha!
:car::car::car::car::car::car::car::car:
Mbona mapigo ya moyo yanazidi baada ya kusoma hii lol!
Hahaha! mbona hutaki akaone kule lol!Hubby acha na Uporoto anaona wivu kisa umepata na yeye alikosa hat abaada ya kusota sana!!!
Naomba ubadilishe njia uje nilipo mimi!!!!Me luv you so much darling!!!:hug::mwaaah:
Hahaha! mbona hutaki akaone kule lol!
Elia big up sanaaaaaa!!!
mwanamke si maharage ya mbeya maji mara moja!!
Tena si jamvi la wageni!!
hasaaaa ukijitambua ww ninani!!
vyote sawa tu....kama mtu anakuchukulia malaya hata uki-play hard to get atakufikiria hivyo na intention haibadilishwi kwa ku-play hard to get....kama mwanaume anakupenda itabaki kuwa anakupenda na kama alikuwa anataka ku-hit and run hata after two years atafanya hivyo......!!
Nafikiri ni vizuri mwanamke akawa wazi kuwa nahitaji muda kukufahamu na kuamua kama niwe na wewe au lah....lakini kudanganya kuwa una wako,sijui nini then unaanza kulalamika yule mwanaume anapokuwa amekata mahusiano ni aina fulani ya wendawazimu....thats not playing hard to get....may be tanzanian way.....ni kujidanganya mwenyewe!!!:washing:
Mdada namsapoti sana, na inaonyesha hukuwa unampenda, ulikuwa unataka kukidhi haja zako za muda, hivi mtu unayempenda kweli unaweza kuacha kumfuatilia kirahisi hivyo! we hukupenda wala nini..
Sasa huyo mdada si alisema anawake tayari, jamaa alikuwa sahihi kuacha
huyo dada hajasoma mambo ya takwimu na sensa halisi idadi kubwa ni ipi wanamume au wanawake....angelijua hilo angelichukua chake mapema...na pia kakupunguzia matumizi now you take kiulaini.
nawapenda wanaosumbua maaana siku ya kukubali unapata ashki ambazo ni original na sio mchina...una bahati mimi kwangu haijawahi kutokea.
duuh! Mimi ninafikir mlikutana wote MAPLAYER wakat unamfuata alikuwepo na mwngne alikuwa anamuudumia wewe ulikuwa misscall wakat wewe ulikuwa huna na wakat wewe umepata mwngne hv sasa yeye alishamtosa yule mwngne so kaz kwako kama vp kula mzgo kunja kona
wengine wala hawavungi mkuu...