Akili ya kudhani kuwa wanaume wanaume almost sote twapenda ama kuvutiwa na wanawake weupe! Urembo uliopewa Mungu hajakosea haileti maana kutumia mkorogo nk ili kubadilisha rangi ya ngozi yako! Sijui kama huwa yanaangaliwa madhara kwanza ama uzuri kwanza... Siku hizi imeingia hadi alie na weupe kidogo anajazia awe mzungu kabisa! Haipendezi kabisa. Tunawacheka moyoni wanaofanya hivyo hii tabia haipendezi.