Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
Kwa jinsi walivyoongea kwenye kongamano lao sikutegemea kama hawa jamaa wangekuwa kimya hivi.
Mbaya zaidi walikuwa wanaongea fact, Mzee Makamba akawaita WEHU!
Nilitegemea wangeshaonyesha msimamo wao wa kutoiunga CCM mkono waziwazi ili kubadilisha timu ya wezi na kuiweka timu ya waadilifu serikalini.
Hapa ndipo ninapoamini kuwa SIASA haiendeshwi bila unafiki!
Mbaya zaidi walikuwa wanaongea fact, Mzee Makamba akawaita WEHU!
Nilitegemea wangeshaonyesha msimamo wao wa kutoiunga CCM mkono waziwazi ili kubadilisha timu ya wezi na kuiweka timu ya waadilifu serikalini.
Hapa ndipo ninapoamini kuwa SIASA haiendeshwi bila unafiki!