Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,840
- 4,806
Kha!! Kwa hiyo hawa na bibi yangu unawafananisha??afadhali hawa wanajifunika kidogo bibi yako kabla ya kuja mzungu si ndiyo ilikua aibu, vibwaya na matiti nje, embu acheni upuuzi
Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia moja tu, kukumega, kukuchapa, na kukushikisha adabu kitandani, na sifa zitaishia hapo.
Hakuna mwanaume siriaz anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye siriaz. Mwanamke anayeweza kuacha nje mali ambazo ni fahari ya mumewe zionwe na kila mwanaume. Nionyeshe mwanamke mwenye tabia hizi za hovyo aliyeolewa na mwanaume serious.
Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe pete yake lazima awe na uhakika level ya ujinga kwenye akili yako ni ziro maana anaoa kiongozi wa familia na sio muuza mwili.
Shkamooni wote mnao-boost nyonyo na kubana kalio, kumegwa na kuachwa kwako ni guarantee. Hatuoi ujinga!
Sent using jamii forums mobile app
Bahati nzuri hayupo jfMh.
Uzuri umesema ni mvulana wako, angekuwa mchumba wako ninemuona kama kesho atatuletea mzigo wa ku dili na ndoa yake
IliyomenywaUkikuta ndizi mbivu iliyomenywa na nyingine ina haijamenywa zimepangwa zinauzwa utachagua ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi wavulana wa mikoani acheni kutuletea frustration zenu, hayo mambo yanatamalaki huko huko mikoani, sisi tunaowaoa ni ma girl friends zetu, tumesoma nao, tunawajua ata wakivaa chupi na bra peke yake tunajua huwezi kuwabandua, lazima uwe umeoga kwanza maji ya ruvu na kupaka deodorant. Acheni mambo ya kishamba, waacheni akina mama wapumue.
Haha! Kweli ujinga hauna uteteziKama mavazi sio heshima tembea na chupi mbele ya baba yako!!!!!!!!!!!!!
UJINGA AUJAWIHI KUWA NA UTETEZI
Yani wewe unachekesha sana mimi naandika huku nimerelax nakuacha uongee tu.......onyesha wapi nimesema chupi ni vazi la kutembea nalo barabarani!!! Kama wewe mwafrika kweli ungevaa ngozi utembee nazo barabarani......acha kujisifia kwa kitu usichokijua
Kabisa mamiiAngevaa na majani kabisa. Toka wafundishwe kuvaa suti na wanaume wa kizungu wanajiona watu
Nawe nae akiri zako hazina tofauti na hizo boobsMwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia moja tu, kukumega, kukuchapa, na kukushikisha adabu kitandani, na sifa zitaishia hapo.
Hakuna mwanaume siriaz anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye siriaz. Mwanamke anayeweza kuacha nje mali ambazo ni fahari ya mumewe zionwe na kila mwanaume. Nionyeshe mwanamke mwenye tabia hizi za hovyo aliyeolewa na mwanaume serious.
Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe pete yake lazima awe na uhakika level ya ujinga kwenye akili yako ni ziro maana anaoa kiongozi wa familia na sio muuza mwili.
Shkamooni wote mnao-boost nyonyo na kubana kalio, kumegwa na kuachwa kwako ni guarantee. Hatuoi ujinga!
Sent using jamii forums mobile app
Mwanaume akikusifia kwa kutembea nyonyo nje, nyie mnaita boobs na makalio yakishika nguo uliyovaa ukisema unaenda na wakati huwa na nia moja tu, kukumega, kukuchapa, na kukushikisha adabu kitandani, na sifa zitaishia hapo.
Kinachotakiwa ni kuongezea chumvi chanya hakuna ulichoacha imejitosheleza mkuu
Hakuna mwanaume siriaz anayeweza kukubali kuoa mwanamke asiye siriaz. Mwanamke anayeweza kuacha nje mali ambazo ni fahari ya mumewe zionwe na kila mwanaume. Nionyeshe mwanamke mwenye tabia hizi za hovyo aliyeolewa na mwanaume serious.
Wanaume sio wajinga kama wanavyoonekana usoni. Mpaka akupe pete yake lazima awe na uhakika level ya ujinga kwenye akili yako ni ziro maana anaoa kiongozi wa familia na sio muuza mwili.
Shkamooni wote mnao-boost nyonyo na kubana kalio, kumegwa na kuachwa kwako ni guarantee. Hatuoi ujinga!
Sent using jamii forums mobile app
Wewe umeolewa au badoSo una ushauri gani? Au wavae magunia......wanaume wengine bhana mnashangaza sana kwani umeambiwa mavazi ndo tabia ya mtu......kila mtu anavaa kile anachokipenda period
Kuna rafiki yangu ni mpole,mstaarabu,anavaa kiheshima sijawahi ona ila mpaka leo hajaolewa na kaishia kuzalishwa.....kama ndoa ipo ipo tu haina haja ya kupretend kuvaa kiheshima kisa uolewe lol
Nyie ndio mnasababisha kukashifiwaHivi hakuna vingine mtakavyoandika zaidi ya kukashifu jinsia KE?
Ninyi mbona mna mapungufu mnoo lakini?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado
Amezungumzia kutembea nusu uchi, ila sishangai nyie kutetea ujinga maana hata duka ili liuze lazima mlango uwe nusu, dirisha liwe wazi tuone bidhaaKwani hapo nimeongelea kutembea uchi......acha kukurupuka