Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
mm siwazagi ajira baada ya chuo nimeshakua satisfied na bajaji nikimaliza naunganisha kwenye bajaji moja kwa moja likitokea la mbele ok
pesa niloipata chuo imenisaidia kujijenga kidogo ko hbr za kuanza upya sitakua nazo
pesa niloipata chuo imenisaidia kujijenga kidogo ko hbr za kuanza upya sitakua nazo