Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Kuna tabia ya vijana bila hata kupewa chochote huibuka na kusifia viongozi hata ambavyo hastahili. Hii imekuwa kero kwa baadhi ya viongozi ambao hawana hulka ya kutaka sifa wamekuwa wakijitenga nao.
Katika kitabu kimoja cha uongozi nilikisoma kwa uzuri sana. Kinasema kiongozi mzuri hujipambanua kwa kuwa kweli na kutenga muda kipanga mipango yake ya muda na kusoma na kujielemisha, lakini kizazi hiki hakina hulka ya kujisomea kabisa. Kizazi hiki kimegubijwa na starehe zaidi kuliko kazi na ubunifu.
Uchawa umekuwa mwiba na ajira rasmi ya vijana. Kuna wakati kila mtu anapambana kuwa chawa wa viongozi, kila kujali na kujikita kubuni namna mbalimbli ya uzalishaji mali na kuhudumia jamii.
Hii akili mbovu ya vijana na wasomi itapeleka kuliua Taifa la Tanzania.
Katika kitabu kimoja cha uongozi nilikisoma kwa uzuri sana. Kinasema kiongozi mzuri hujipambanua kwa kuwa kweli na kutenga muda kipanga mipango yake ya muda na kusoma na kujielemisha, lakini kizazi hiki hakina hulka ya kujisomea kabisa. Kizazi hiki kimegubijwa na starehe zaidi kuliko kazi na ubunifu.
Uchawa umekuwa mwiba na ajira rasmi ya vijana. Kuna wakati kila mtu anapambana kuwa chawa wa viongozi, kila kujali na kujikita kubuni namna mbalimbli ya uzalishaji mali na kuhudumia jamii.
Hii akili mbovu ya vijana na wasomi itapeleka kuliua Taifa la Tanzania.