Akili KumKichwa....

Spear_

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
1,603
486
Nyumba ya Juma na mkewe Siwema ilivamiwa
na majambaz,baada ya kuiba yakapanga
kuwaua wote,ila kabla ya kuua, yaliamua
kuwauliza maswal:
JAMBAZI:"we mwanamke unaitwa nan?"
SIWEMA:"Mm naitwa Siwema"
JAMBAZI:"Ww umesalimika maana jina lako
linafanana na jina la mama yangu"
"Ehee!..na ww mwanaume unaitwa nan?"
JUMA:"mm naitwa Juma ila kazini wananiitaga
Siwema"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom