MKITO
Member
- Oct 8, 2010
- 52
- 7
Baada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza karata.
... Kwa bahati mbaya karata ikaangukia chini ya meza, Fred alipoinama kuichukua akaona nyeti za Lisa ambae hakuwa amevaa chupi. Fred akahamanika kwa
aibu, japo John hakukugundua.
... Baadae kidogo John alipokwenda jikoni kuchukua vinywaji, Lisa akamuuliza Fred:"Umekipenda ulichokiona?"
Fred: "Ndiyo".
Lisa: Utakipata kwa laki moja, ila iwe ijumaa mchana maana John huenda site visits kwa wateja wake kila ijumaa.
Ijumaa ikafika, Fred akaja kwa John na laki na mchezo ukachezwa. John aliporudi jioni akamuuliza mkewe: "Fred alikuja?"
Lisa akawaza:'Inawez ekana alimuona akija au kaambiwa', akajibu:"Ndiyo, alipita
hapa mara moja".
John: "Safi, alikuachia laki moja?"
Lisa akawaza: 'Huyu atakuwa anajua'.
Akamjibu mumewe kwa upole:"Ndiyo,
kaileta".
John: "Fred ni mwaminifu sana, alikuja
asubuhi ofisiniakanikopa laki moja na akasema atapita nyumbani akuachie mchana"
Lisa : akabaki ametoa macho kumbe ametoa bureBaada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza karata.
... Kwa bahati mbaya karata ikaangukia chini ya meza, Fred alipoinama kuichukua akaona nyeti za Lisa ambae hakuwa amevaa chupi. Fred akahamanika kwa
aibu, japo John hakukugundua.
... Baadae kidogo John alipokwenda jikoni kuchukua vinywaji, Lisa akamuuliza Fred:"Umekipenda ulichokiona?"
Fred: "Ndiyo".
Lisa: Utakipata kwa laki moja, ila iwe ijumaa mchana maana John huenda site visits kwa wateja wake kila ijumaa.
Ijumaa ikafika, Fred akaja kwa John na laki na mchezo ukachezwa. John aliporudi jioni akamuuliza mkewe: "Fred alikuja?"
Lisa akawaza:'Inawez ekana alimuona akija au kaambiwa', akajibu:"Ndiyo, alipita
hapa mara moja".
John: "Safi, alikuachia laki moja?"
Lisa akawaza: 'Huyu atakuwa anajua'.
Akamjibu mumewe kwa upole:"Ndiyo,
kaileta".
John: "Fred ni mwaminifu sana, alikuja
asubuhi ofisiniakanikopa laki moja na akasema atapita nyumbani akuachie mchana"
Lisa : akabaki ametoa macho kumbe ametoa bure
... Kwa bahati mbaya karata ikaangukia chini ya meza, Fred alipoinama kuichukua akaona nyeti za Lisa ambae hakuwa amevaa chupi. Fred akahamanika kwa
aibu, japo John hakukugundua.
... Baadae kidogo John alipokwenda jikoni kuchukua vinywaji, Lisa akamuuliza Fred:"Umekipenda ulichokiona?"
Fred: "Ndiyo".
Lisa: Utakipata kwa laki moja, ila iwe ijumaa mchana maana John huenda site visits kwa wateja wake kila ijumaa.
Ijumaa ikafika, Fred akaja kwa John na laki na mchezo ukachezwa. John aliporudi jioni akamuuliza mkewe: "Fred alikuja?"
Lisa akawaza:'Inawez ekana alimuona akija au kaambiwa', akajibu:"Ndiyo, alipita
hapa mara moja".
John: "Safi, alikuachia laki moja?"
Lisa akawaza: 'Huyu atakuwa anajua'.
Akamjibu mumewe kwa upole:"Ndiyo,
kaileta".
John: "Fred ni mwaminifu sana, alikuja
asubuhi ofisiniakanikopa laki moja na akasema atapita nyumbani akuachie mchana"
Lisa : akabaki ametoa macho kumbe ametoa bureBaada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza karata.
... Kwa bahati mbaya karata ikaangukia chini ya meza, Fred alipoinama kuichukua akaona nyeti za Lisa ambae hakuwa amevaa chupi. Fred akahamanika kwa
aibu, japo John hakukugundua.
... Baadae kidogo John alipokwenda jikoni kuchukua vinywaji, Lisa akamuuliza Fred:"Umekipenda ulichokiona?"
Fred: "Ndiyo".
Lisa: Utakipata kwa laki moja, ila iwe ijumaa mchana maana John huenda site visits kwa wateja wake kila ijumaa.
Ijumaa ikafika, Fred akaja kwa John na laki na mchezo ukachezwa. John aliporudi jioni akamuuliza mkewe: "Fred alikuja?"
Lisa akawaza:'Inawez ekana alimuona akija au kaambiwa', akajibu:"Ndiyo, alipita
hapa mara moja".
John: "Safi, alikuachia laki moja?"
Lisa akawaza: 'Huyu atakuwa anajua'.
Akamjibu mumewe kwa upole:"Ndiyo,
kaileta".
John: "Fred ni mwaminifu sana, alikuja
asubuhi ofisiniakanikopa laki moja na akasema atapita nyumbani akuachie mchana"
Lisa : akabaki ametoa macho kumbe ametoa bure