Akili kumkichwa

MKITO

Member
Oct 8, 2010
52
7
Baada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza karata.
... Kwa bahati mbaya karata ikaangukia chini ya meza, Fred alipoinama kuichukua akaona nyeti za Lisa ambae hakuwa amevaa chupi. Fred akahamanika kwa
aibu, japo John hakukugundua.
... Baadae kidogo John alipokwenda jikoni kuchukua vinywaji, Lisa akamuuliza Fred:"Umekipenda ulichokiona?"
Fred: "Ndiyo".
Lisa: Utakipata kwa laki moja, ila iwe ijumaa mchana maana John huenda site visits kwa wateja wake kila ijumaa.
Ijumaa ikafika, Fred akaja kwa John na laki na mchezo ukachezwa. John aliporudi jioni akamuuliza mkewe: "Fred alikuja?"
Lisa akawaza:'Inawez ekana alimuona akija au kaambiwa', akajibu:"Ndiyo, alipita
hapa mara moja".
John: "Safi, alikuachia laki moja?"
Lisa akawaza: 'Huyu atakuwa anajua'.
Akamjibu mumewe kwa upole:"Ndiyo,
kaileta".
John: "Fred ni mwaminifu sana, alikuja
asubuhi ofisiniakanikopa laki moja na akasema atapita nyumbani akuachie mchana"
Lisa : akabaki ametoa macho kumbe ametoa bureBaada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza karata.
... Kwa bahati mbaya karata ikaangukia chini ya meza, Fred alipoinama kuichukua akaona nyeti za Lisa ambae hakuwa amevaa chupi. Fred akahamanika kwa
aibu, japo John hakukugundua.
... Baadae kidogo John alipokwenda jikoni kuchukua vinywaji, Lisa akamuuliza Fred:"Umekipenda ulichokiona?"
Fred: "Ndiyo".
Lisa: Utakipata kwa laki moja, ila iwe ijumaa mchana maana John huenda site visits kwa wateja wake kila ijumaa.
Ijumaa ikafika, Fred akaja kwa John na laki na mchezo ukachezwa. John aliporudi jioni akamuuliza mkewe: "Fred alikuja?"
Lisa akawaza:'Inawez ekana alimuona akija au kaambiwa', akajibu:"Ndiyo, alipita
hapa mara moja".
John: "Safi, alikuachia laki moja?"
Lisa akawaza: 'Huyu atakuwa anajua'.
Akamjibu mumewe kwa upole:"Ndiyo,
kaileta".
John: "Fred ni mwaminifu sana, alikuja
asubuhi ofisiniakanikopa laki moja na akasema atapita nyumbani akuachie mchana"
Lisa : akabaki ametoa macho kumbe ametoa bure
 
hahaha hahahaha hahaha hahahaa

hehehehehehe hii ya leo kali,

yaani sio kopi pesti tu, bali ni kopi pesti dabodabo. Jamani kama huna kipya acha sio lazima kujaza thredi hapa mnatuchosha unafungua posti kumbe ni marudio

haha hahahahahaha pesti dabo dabo, oooooh dabo dabo
 
hahaha hahahaha hahaha hahahaa

hehehehehehe hii ya leo kali,

yaani sio kopi pesti tu, bali ni kopi pesti dabodabo. Jamani kama huna kipya acha sio lazima kujaza thredi hapa mnatuchosha unafungua posti kumbe ni marudio

haha hahahahahaha pesti dabo dabo, oooooh dabo dabo

Umeua mkuu...hahahahahahahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
ilinitokea hio ila nilirudi fastafasta na ku-edit post.hakuna binadam alie kamili wakuu.copy paste ipo tu kwa sana.mueleweni na muelimisheni.guday.
 
afadhali angekopi amefanya paste, hadi nukta mzee
inabidi iwepo page ya wale wanaopaste thread za watu
 
Back
Top Bottom