realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,964
- 8,957
Hii ni kwa wale watu wabishi wabishi hata kwenye Jambo la msingi yeye anataka kukwamisha. Unakuta mtu kafanya jambo lake analifurahia atatokea mtu tu kuhakikisha anakuliza.
Hawa watu tunaishi nao Kazini,nyumbani, Shuleni kwenye Biashara. Hakikisha unawakwepa au unawazoea watu kama hao.
Unakuta unataka kujaribu kufanya kitu mtu anakwambia walishindwa sijui kina nani wewe utaweza?
Na wewe unaamini, unaacha kufanya.
Ndugu yangu hapo ndio unawafanya wafurahi sasa wamekukwamisha. Ukiamua kufanya kitu fanya tu bila kujali ushauri wao ili mradi kiwe chenye tija na usjvunje Sheria za nchi.
Hawa watu tunaishi nao Kazini,nyumbani, Shuleni kwenye Biashara. Hakikisha unawakwepa au unawazoea watu kama hao.
Unakuta unataka kujaribu kufanya kitu mtu anakwambia walishindwa sijui kina nani wewe utaweza?
Na wewe unaamini, unaacha kufanya.
Ndugu yangu hapo ndio unawafanya wafurahi sasa wamekukwamisha. Ukiamua kufanya kitu fanya tu bila kujali ushauri wao ili mradi kiwe chenye tija na usjvunje Sheria za nchi.