Akili finyu!!Je wewe utafanyaje??

Akili finyu!!Je wewe utafanyaje??

Bladerunner

Member
Joined
Dec 19, 2008
Posts
93
Reaction score
4
Jamaa watatu walikua wakifanya kazi katika kampuni fulani hivi!!Bosi wao alikua na tabia ya kula kona kila Ijumaa baada ya lunch time afu anawaachia kazi kibao wamalizie!!Ijumaa hii wakapanga akila kona na wao wale kona!!
Jumatatu wakawa wanapeana michapo!!
Wa kwanza:ebwanae ucpime ijumaa nliutwika ile mbaya mpaka nikamtongoza wife nikidhani demu mwengine!!
Wa pili:hujanishinda mimi niliutwika mpaka nikasahau kwangu,nikaishia chumbani kwa mwenyekiti wa mtaa!
Watatu:akaanza kulalama!!"Nyie washkaji hamfai kabisa,mwenzenu leo ningekua sina kibarua!!mimi nilirudi nyumbani,ile kufungua mlango wa chumba tu si nikamkuta BOSI NA WIFE WANGU KITANDANI!!Yani nashukuru mungu hakuniona,nikatoka kimya kimya!!!"
 
Last edited:
Hahaha huo siyo ufinyu ni ubwege mtu wangu!!! kama mwanaume inabidi uwe na control katika mambo mengi. Kunywa pombe siyo lazima ulewe, au ufanye vitu vitakavyokutofautisha na binadamu wa kawaida.

Wanaume wengi wanaywaji bila control unakuta hata kwenye maisha yao maamuzi ni ya kilevi tu. Wanaume kunyweni ila msizidishe mkaonekana mabwege!
 
Jamaa watatu walikua wakifanya kazi katika kampuni fulani hivi!!Bosi wao alikua na tabia ya kula kona kila Ijumaa baada ya lunch time afu anawaachia kazi kibao wamalizie!!Ijumaa hii wakapanga akila kona na wao wale kona!!
Jumatatu wakawa wanapeana michapo!!
Wa kwanza:ebwanae ucpime ijumaa nliutwika ile mbaya mpaka nikamtongoza wife nikidhani demu mwengine!!
Wa pili:hujanishinda mimi niliutwika mpaka nikasahau kwangu,nikaishia chumbani kwa mwenyekiti wa mtaa!
Watatu:akaanza kulalama!!"Nyie washkaji hamfai kabisa,mwenzenu leo ningekua sina kibarua!!mimi nilirudi nyumbani,ile kufungua mlango wa chumba tu si nikamkuta BOSI NA WIFE WANGU KITANDANI!!Yani nashukuru mungu hakuniona,nikatoka kimya kimya!!!"
Hahahaha hii kali jamani kakubali demu wake achakachuliwe na both wake
 
kwa hiyo na wewe ungefanya hivyohivyo,kesho akisema anataka kukufanyia massage utakubali ili usipoteze kibarua au?

mbona unachanganya mambo?
i am the boss.....

mimi ndo natoa order,hakuna mwenye ubavu wa kunipa order..
get it????????
 
kwa sharti lakuchuliwa kinyume chake baki na unyamwezi wako na miiko yako kama haujasongea ugali!!!

hivi unafikiri hata energy ya kunyanyua mkono utaipata?
utakuwa unahemea juuu juu tu....kizunguzungu kwa chati......
 
hivi unafikiri hata energy ya kunyanyua mkono utaipata?
utakuwa unahemea juuu juu tu....kizunguzungu kwa chati......
hahahahahaha haya bwana usikimbie tu kila ukiona post yangu:lol:
 
Huyo jamaa wa tatu ni ***** kwelikweli!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom