Waambie haoEx wangu anavyo na nishawahi kumnunulia mara mbili. Vaeni mabwanga, vitenge, suruali za marinda na mbebe hizo Louis Vuitton za laki ngapi.
Kwani mnataka wavae nini sasa, na kama unataka avae kwa design gani mnunulie. Unataka awe kwenye hadhi flani mfanye awe hivo akikataa achana nae.
Duh vimekaa kitoto sanaHapa Dar kwa Konda boy naona hadi wanawake watu wazima wakibeba hivyo vibegi
My life is mine to remember
Yes vinawafaa wadada Kama haoBint wangu wa kazi alipokuwa anaondoka aliomba nimnunulie hicho.
Kabisa, na mahouse girl
Viatu kama hvHahaha vibegi vya ma sleyquen ivyo. Alafu Sasa chini avae viatu vya manyonya na simu yake iwe na cover la mdoli ana maskio kimbia kabsaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha vibegi vya ma sleyquen ivyo. Alafu Sasa chini avae viatu vya manyonya na simu yake iwe na cover la mdoli ana maskio kimbia kabsaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah mkuu jana nliona demu kabeba kama hlo na rangi ni hyo hyo bt alikuwa na stress sanaaa,n ww ulimpiga chin nn mkuu?Ukimwona mapenzi/demu wako anabeba begi kama hili mpishe aende.View attachment 1419735View attachment 1419735
Kakifika gheto kabla ya kukatafuna kaambie kakaoge kwanza. Vinatembea sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Show us please!Hivo ni vya watoto.
Watu wazima tunabeba hivi
Tunatishana sasa mbona mkuu unataka tule nduki??Hahaha vibegi vya ma sleyquen ivyo. Alafu Sasa chini avae viatu vya manyonya na simu yake iwe na cover la mdoli ana maskio kimbia kabsaa
Sent using Jamii Forums mobile app
kama huyu Nakuja ila silali[emoji16][emoji16][emoji16] kweli hawafai, anabeba hako kabegi halafu chini anavaa vijiatu wazi(open shoes) vyenye manyoya, simu yake ina urembo, pia amevaa earphones mhuu majanga
Sent using Jamii Forums mobile app