Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,828
Hapa Dar kwa Konda boy naona hadi wanawake watu wazima wakibeba hivyo vibegi
My life is mine to remember
Hapa Dar kwa Konda boy naona hadi wanawake watu wazima wakibeba hivyo vibegi
Mbona mabegi ya watoto wa sekondari???
Hamna msichana hata wa chuo anaebeba huo uchafu. Hayo ya watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha....umenichekesha sana mkuu maana nipo hapa na demu mmoja hivi nasaundisha nimugegede.Hahaha vibegi vya ma sleyquen ivyo. Alafu Sasa chini avae viatu vya manyonya na simu yake iwe na cover la mdoli ana maskio kimbia kabsaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti ana tumbo beseni [emoji1][emoji1]Mambo ya fashoni hayo,kuna mdada wa makamo umri 28~~33 anapema Sana kuvaa kibegi kama hicho sasa na yeye alivyo na tumbo besheni nikimuona naishia kucheka
Anajiita slay Queen pia,sijui slay Queen ni nini!
Hujawahi kuona mwanamke mwenye tumbo ukubwa wa besheni
Kwani huwa wanabeba nini na huwa wanakwenda wapi ?Ukimwona mapenzi/demu wako anabeba begi kama hili mpishe aende.View attachment 1419735View attachment 1419735
[emoji1][emoji1]kwa kweli sijawahi mkuuHujawahi kuona mwanamke mwenye tumbo ukubwa wa besheni
Mtu mzima mamboHivo ni vya watoto.
Watu wazima tunabeba hivi
Mtu mzima mambo
Vzuri imani yangu , umemmis mtu mzima mie, kama nilivokumis mtu mzm weweMtu mzima mwenzangu mambo poa.