Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,817
- 5,403
mtu mmoja anayefahamika kwa jina la karama mwenye asili ya kiarabu,leo mapema ametiwa nguvuni na wanajeshi wapatao kumi baada ya kuhisiwa na kukutwa na pembe za tembo nyumbani kwake maeneo ya maktaba mbinga-ruvuma.Wanajeshi hao waliizunguka nyumba ya mfanyabiashara huyo na wengine kuikagua ndani ndipo walipokuta 'ishu' hyo.Msako huo wa kushtukiza pia uliwanasa watu wengine wawili waliofahamika kwa majina ya mathias na pius kuhusiana na tukio hilo ambao wote wamechukuliwa na wanajeshi hao kuelekea kwenye sheria