Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 838
- 496
Mimi ni Mtanzania wa kawaida tu!
Kwa kuwa serikali imefikia katika hatua nzuri ya mchakato wake wa UHAKIKI.
Ninaishauri Serikali kupitia TAMISEMI itangaze ajira mwezi huu, ili waajiriwa wapya waitumie DECEMBER katika michakato ya kuripoti, kutafuta makazi, kupangiwa majukumu, kuandaa maazimio ya kazi, kujikumbushia masuala mbali mbali maana wamekaa mtaani kwa muda mrefu sana na mengineyo mengi ili mapema JANUARY vijana hawa waanze kazi yao wakiwa tayari masuala ya msingi wameyakamilsha tayari.
Ninaamini Serikali yetu ni sikivu.
Hivyo huu ushauri utafanyiwa kazi kwa asilimia zote.
Naomba kuwasilisha.
Kwa kuwa serikali imefikia katika hatua nzuri ya mchakato wake wa UHAKIKI.
Ninaishauri Serikali kupitia TAMISEMI itangaze ajira mwezi huu, ili waajiriwa wapya waitumie DECEMBER katika michakato ya kuripoti, kutafuta makazi, kupangiwa majukumu, kuandaa maazimio ya kazi, kujikumbushia masuala mbali mbali maana wamekaa mtaani kwa muda mrefu sana na mengineyo mengi ili mapema JANUARY vijana hawa waanze kazi yao wakiwa tayari masuala ya msingi wameyakamilsha tayari.
Ninaamini Serikali yetu ni sikivu.
Hivyo huu ushauri utafanyiwa kazi kwa asilimia zote.
Naomba kuwasilisha.
. Wengi wanatamani watoe maoni yao ila sasa hawana vya kuwawezesha kuyatoa maoni hayo.