simon james
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 283
- 140
Kile kisicho aminika kwa CCM sasa kipo wazi baada ya jamii ya wapare same magharibi kujitokeza kwawingi kwenye mikutano ya kufungua ofisi za CHADEMA Same.
Hasa ule uliofanyika Kata ya makanya na wazee kutamka wenyewe kuwa hawaihitaji tena CCM na mbunge wake David Matayo kwani amekuwa mtu asiye na mipango hasa ya maendeleo kwani tangu wampe ubunge hawaoni chochote alichofanya zaidi ya kuwadanganya kuwa yeye ndiye anaye waletea mahindi ya msaada.
Wazee zaidi ya 200 walifika ofisi ya CHADEMA Kata ya makanya siku moja baada ya mkutano kujiandikisha ili wapewe kadi za CHADEMA NA wengi walirudisha kadi za CCM. Huu ni mwanzo tu katika kuhakikisha kuwa tunaikomboa same.Kwamatukio zaidi wasiliana na 0752225501