Ajira za wabunge wa CCM Same kuota mbawa kabla ya 2015. Jionee matukio katika picha

Matayo umeipata hyooo?
Yaani walimchagua Matayo kwa ushaabiki tu huyu jamaa ni msanii sana wasitegemee atawasaidia. Yeye ni mtu wa kujipendekeza kwa JK ili apewe uwawaziri. Na hii ndo itakuwa mwisho wake sasa sijui atarudi tena chini kuongea na washikaji wake wa wakati ule. M4C hatuendekezi kuwapa watu vyeo kwa urafiki you don't deliver you go.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom