Ajira za uhasibu

Ajira za uhasibu

Ahahahahahaaaaaaaaaa-hawa wadogo zetu ni janga mkuu,
Kuna mmoja jana kaleta ofisi kwetu application letter kwenye bahasha yake na copy za vyeti viko bahasha bahasha ingine....eti ni graduate wa Muhimbili University.

hawa vijana sijui huko shule wanaenda kusoma au kukua tu.
 
Kusema ukweli stori yako ni nzuri sana ila jitahidi kuongeza ubunifu ili sisi wasomaji tusijue mwisho ukoje.

Ni mimi Malezo kukuletea habari hii

Ha ha ha ha nimependa ulivyowakirisha mkuu..
 
Last edited by a moderator:
Tafadhari naomba ufafanuzi CPA ndo nini ili niende kukomaa nao inaweza ikanitoa

Uwezi Kuwa Serious.Umesoma UDSm Shahada Ya uhasibu Afu UJui CpA ni nini Wewe kuna Mawili Ujafika Level ya Degree Au Ujasoma kabisaa
 
Tafadhari naomba ufafanuzi CPA ndo nini ili niende kukomaa nao inaweza ikanitoa

Aisee Me Ni Graduate wa Mzumbe.Nimeumia Sana Kuona Graduate Wa UDSM anamaliza Chuo Ajui CPA ni nini Ni Aibu Kwa Fani yetu.Umedhalilisha Fani Ya UHasibu Umedhalilisha CHuo Ulichotaja.Mwaka wa Pili Ulisoma Nini kwenye Auditing,Financial Accounting II.?
 
Nimeona watu wapuuzi lkn we jamaa umepindukia yaani hadi nashindwa kujua in Ujinga , utozi au nini! We una kadigirii unataka mtuakupm? Hivyo vidigiri dizaini yako kila baada ya nyumba kumi vipo na kazi hakuna. Sasa we unaandika kwa nyodo anipm ! Aya bhan utasubir hadi Yesu anarudi na Nazi utaisikia tu
 
hio ni mirror inareflect UDSM ya sasa au elimu ya vyuo yasasa tanzania, haiwezekani hata kidogo kwa mhitimu wa udsm ACC hujui CPA ni nini, na kama kuna vingine haujua tafadhali usiendelee kuonyesha haujui hapa bora un pm nikusaidie kisirsiri maana hapa kama kweli yupo muajiri umeisha mkimbiza maana ameishapata the whole description yako na uwezo wako ni sawa na daktari amalize mihimbili asijue kuna body y madaktari

note mama DR ndalichako nafikiri umeiona elimu waliotuachia wakina mulugo na professor mchome(sijui upofeseri wake aliupata wapi) ila ndio waliotuletea hili janga

Mungu ibariki tanzania bariki elimu yetu: Amen
 
humu kuna wapuuzi wengi tunaojivika usomi ilihali hakuna tunachokijua mifano chungu nzima tunaiona humu.
 
Mheshimiwa hebu nieleweshe kuhusu CPA maana sina idea kabisa na kitu hicho

Mimi nna shahada ya Ualimu,sijawah kusoma mambo yenu hayo ila najua ukimaliza shahada ya uhasibu kama unataka uwe competent inakubidi ukasome CPA pale NBAA,wewe ulosoma uhasibu huna idea ya CPA!halafu ingekua mada ya walimu na wewe ungekua unawananga walimu hapa,pole sana mdau Barriz
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom