Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Inaelekea kuna mijitu haielewi kiswahilli kabisa yani Wewe umeambiwa serikali haina tatizo na walimu wa sanaa wewe unasema haitaajiri walimu wa sanaa hivi kweli hapo ulielewa au unapotosha kauli ya Kawambwa?
 
Serikali imeshatamka kuwa waalimu wa arts wameshatosha ma hakuna upungufu tena, sasa mnataka muajiriwe ili muende mkafanye nini mashuleni??. Shule nyingi hivi sasa ukizitembelea unakuta kuna waalimu wanaofundisha kiingereza na kiswahili 20. Shule ina jumla ya wanafunzi 300, hiyo ni form 1 mpaka 4. Sasa katika hali kama hii kuendelea kuajiri si ni kulitwisha taifa mzigo usiokuwa na tija.

Waalimu wala msilalamike sana, tatizo la ajira hapa nchini lipo siku zote, kaeni mtafakari, ondoeni ile mentality mliyoondoka nayo vyuoni ya kusubiri kupangiwa kituo cha kazi, amkeni kwenye huo usingizi wa pono mliolala, muanze kufanya shughuli za kujitegemea kama vijana wanaomaliza taaluma nyingine. Vinginevyo mtaendelea kusubiri kitu ambacho hakipo na kujikuta mnapoteza muda mwingi ambao mngeutumia katika kujikwamua kiuchumi.
 
Tulisoma tuajiriwe na sio biashara. Sasa hakuna umuhimu wa shule kama hakuna Ajira. Na pia masomo ya sanaa yafutwe kama sio tija kwa hili li serikali
 
Inaelekea kuna mijitu haielewi kiswahilli kabisa yani Wewe umeambiwa serikali haina tatizo na walimu wa sanaa wewe unasema haitaajiri walimu wa sanaa hivi kweli hapo ulielewa au unapotosha kauli ya Kawambwa?

mijitu mingine hatuelewi kiswahili ww ndio unajua vizuri sasa cjui ww unaelewa kiswahili kwa upande gani ww mwnyw unasema serikali haina upungufu na waalmu wa Arts sasa wataajiliwa ili iweje ww mjuzi wa kiswahili
 
Njooni huku kwetu Usangi Kilimanjaro kuna Vibarua vya kuwakeep buzy mpunguze uongo hapa
 
Sugua bench km sio sugua gaga mwaka huu. Mpaka julai. Duuu. Jackson olesendeka..nipo mwalim. Kibory nangai sipo mwalim.
 
Mishahra ndio shda jipangni huko uraiani fanye mishe upate hela ya kuish mpaka mshahra utakpo toka baada ya miez3

mtakao pangwa kigoma karbuni sana kaka yenu npo huko ntawapokea.
 
Acha kuzingua raia July unaijua wewe au unaisikia?

Edit zako kafanyie studio sio humu watu wanajadili maswala muhimu yanayohusu mustakabali wa maisha yao wewe unaleta comedy
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom