Waziri bungeni amesha maliza huu utata. Hakuna tena upungufu wa walimu wa masomo ya sanaa. Over
mh. Kwa hiyo pamoja na hotuba ya kikwete bado watu hawaaminiWaziri hajamaliza utata bali swali la aliyeuliza ndilo lilipelekea waziri ajibu swali kama lilivyo ulizwa na mbunge kuhusu utatuzi wa tatizo la upatikanaji wa walimu wa sayansi.
Muhimu ni kusubiri wakati ukifika tuone kama watatoa au hawatoi na sio vizuri kukatisha watu tamaa.Kila mwaka watu kama nyinyi huwa hamkosi kuja na kauli kama hizi za kukatisha tamaa wahitimu na mwisho wa siku nafasi hutoka kama kawaida.mh. Kwa hiyo pamoja na hotuba ya kikwete bado watu hawaamini
Sipo hapa kukatisha tamaa watu ndugu yangu ilaMuhimu ni kusubiri wakati ukifika tuone kama watatoa au hawatoi na sio vizuri kukatisha watu tamaa.Kila mwaka watu kama nyinyi huwa hamkosi kuja na kauli kama hizi za kukatisha tamaa wahitimu na mwisho wa siku nafasi hutoka kama kawaida.
Wale waliokua wanasikiliza bunge leo mmesikia Waziri wa Elimu ametoa tamko kuhusu swala la ajira mwaka 2015 kuwa wao wanaupungufu wa waalimu wa sayansi na hesabu.
kauli yako pumz r said:... kwa hiyo wale wa Arts hakuna chenu
source bungeni leo
labda unajisikiaje wenzako kukosa ajira..... maana kama umefurahi vile
acha Upotoshaji wa habari, amesema haina tatizo la walimu wa sanaa! na sio kwamba haijir walimu wa sanaa.....
Na izo ni kauli mbili tofauti!
ila angesema serikali mwaka haiwaajiri walimu a sanaa, na muangalie mishe zingne hapo kwel hata mim ningesema walimu wa art amna chenu....
ila kauli za chni chni iz ni chanzo cha vurugu na ukizingatia huu ni mwaka wa uchaguz mkuu, kumbuka hata migomo na vurugu zinazotokea mavyuoni na mashulen wa sanaa ndo wanakua mstar wa mbele! serikali iliangalie isije ikasababisha civil wa
na waliosoma bed kama bed psychology,bed counseling bed math watawaajiri au nao ni wa sanaa
sasa mkuu kama haina tatizo na waalimu wa Arts wataajiliwa kwa kazi gani serikali inahitaji sayansi na hesabu mm mwnyw ni muhanga wa hilo
na waliosoma bed kama bed psychology,bed counseling bed math watawaajiri au nao ni wa sanaa