Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Nyie mjipe matumain ili mje mjitoe roho kwa kamba vzr nyie subirin uamuz mgum wa serikali tu no way


Unajiumiza roho bure kwa chuki na wivu nani alikuzuia kwenda ualimu?

Acha kujifariji kizembe ajira zipo na hivi tunavyoongea PESA zimeshatumwa kwenye halmashauri....

Usijibebeshe ugonjwa Wa moyo kwa chuki na wivu Wa kijinga...
 
Nyie walimu mnaosubiri ajira hakika mjiandae kisaikolojia kwa kupokea uamuz mgumu utakaotangazwa na waziri wa elimu muda wowote kuanzia sasa kuwa mwaka huu haitaajiri walimu wapya coz walimu wamejaaaaaaaaaaa na mashuleni hakuna tatzo la upungufu wa walimu

Huwenda ww ni Mwalimu mmoja wapo unauesubiria hizo ajirana kama si ww basi una ndugu yalo na kinachokukumba sasa ni msongo wa mawazo baada ya kuona serikali imekaa kimywa .
So ww ngoja tu .. hauna haja ya kupanic ...Serikali inaendeshwa kwa taratibu zake .. keep on waiting ..endelea kufuga hata kuku wa mayai hapo nyumbani .
 
Wale wabeba Bahasha za Khaki wanatamani ajira za Eduche zisitokeee


Wakati mnapiga education waliwacheka Leo MTU anasota 6 years home no employment. ya maana mpaka anajisogeza kwenye vi laki 2 graduate mzima sasa akiona wewe unaramani inayosomeka lazima aamshe chuki....
 
Wakati mnapiga education waliwacheka Leo MTU anasota 6 years home no employment. ya maana mpaka anajisogeza kwenye vi laki 2 graduate mzima sasa akiona wewe unaramani inayosomeka lazima aamshe chuki....
Ha ha ha ha ha
 
Wakati mnapiga education waliwacheka Leo MTU anasota 6 years home no employment. ya maana mpaka anajisogeza kwenye vi laki 2 graduate mzima sasa akiona wewe unaramani inayosomeka lazima aamshe chuki....

Acha kuwapa hope waliosoma education wengi katika family zao ndio marking scheme. ..
Kuzunguka na bahasha ni maisha tu ipo siku..


Wakati mnapiga education waliwacheka Leo MTU anasota 6 years home no employment. ya maana mpaka anajisogeza kwenye vi laki 2 graduate mzima sasa akiona wewe unaramani inayosomeka lazima aamshe chuki....
 
Acha kuwapa hope waliosoma education wengi katika family zao ndio marking scheme. ..
Kuzunguka na bahasha ni maisha tu ipo siku..

Sasa kinakusumbua nini? Kinakuwasha nini? Ndiyo maisha waliyochagua wewe yanakuhusu nini? Kwani kinakunyima kula? Kwanini usijitaabishe na yanayokuhusu?

Nyie ndo michawi yenyewe mnaosokotwa roho kwa mafanikio ya wenzenu...
 
tatizo roho zinawauma mno maana wameshazunguka na vibahasha sana wengine wameajiriwa kwa salary ya laki unusu na degree zao ss wakifikiria mwalimu anaenda kukunja noti mara nne yake tena kazi ya kula bata mara tano unaingia job kwa wiki full likizo..full employment....full kukopa mpka m 15 kwa riba nafuu...yaani wamevurugwa....eti ipo siku....semeni ipo miaka....watu walipokua wanasoma ualimu mliwajoki na kuwaona wajinga wa mwisho hivi sasa mnajuta...teh teh na bado mtakula sana vikaango mpaka tutaheshimiana tu
 
Nimependaaaaaaa coz kama geog vipindi vi tatu kwa wiki after dat ni bata mpakaaaaaaaaa next weekiiiiiiii Ualimu bwana raha sana.

Mtatembea na bahasha za kaki mpaka mtaomba poooooi. Vyuoni mlitutesa sana na vicoz vyenu vya kiboya utasikia nimepata field NSSF nyoooo haya nenda wakakuajiri hao hao pumbavuuuuu
 
Sisi tutasubiri tu wala hakuna tatizo kwanituliwezaje kusubiri muda wote huo up to now?
kwanza mda bado kwani mwaka jana walitoa lini siiilikua mwezi wa tatu? So wala walimu wenzangu tusikate tamaaa time wil tel
 
Mda si mrefu tutaaanza kuheshimiaaana tu na hatutakataaaa kwenda hata vijijini tutaenda tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom