mesha mwaki
Member
- Nov 14, 2014
- 42
- 2
tuaminishe bas gaymtamu
Walimu hoye najua mu6ma munkali wa ajira ndo linalo wazingua vichwa vyenu mbona muna haraka kwani wenzenu mwaka jana ilikuaje c mwezi wa 4 jamani kuwa mpole kama maji yaliyo kwa chombo wadau wangu.
Mh ualimu sio sekta ya waliofeli huyo wa pass akauze vitumbuaaaaa tu.
Vaeni miwani msioneee gereeee
Hakuna gere wala nini hizo hela mnazotumia kuunga bando saivi mngekua na mitaji mkubwa sana ndg tatizo hamtaki kujiari mtasubiri sana nyie walimu...mtazeeka na chalk
Kitu hewan hicho. ingia Pmoralg - Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government | Tanzania. asante ccm.