Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Mh KITAGANDA serikali inaraha yake haina maana kuwa wote wanaosubiri ajira wapo kitaaa wengine tulishapata shavu since week ya kwanza tunamaliza chuo bt tunataka ajira serikalini coz huku private hakuna uhuru

Nimekuelewa kumbe unataka uwe na ajira mbili afu hii ya public utakua unategea eti eh??
 
Anytime kuanzia sasa mtafurahishwa. 90 Pacee ishu zimekamilishwa. Ni kuachia majina tu. Msisahau kubeba mbegu na mbinu mbadala za kilimo. Maana kuna fursa za kutosha hasa kwa wataopangiwa mikoa yenye udongo mzuri kwa kilimo
 
Anytime kuanzia sasa mtafurahishwa. 90 Pacee ishu zimekamilishwa. Ni kuachia majina tu. Msisahau kubeba mbegu na mbinu mbadala za kilimo. Maana kuna fursa za kutosha hasa kwa wataopangiwa mikoa yenye udongo mzuri kwa kilimo
Mdau vip tutegemee lini labda. Masaa, siku, wiki au mwezi??
 
Mimi ni mwalimu ninachokifahamu ni kwamba mwezi uliopita tulitakiwa kupeleka kwa afisa elimu mahitaji ya walimu wanaohitajika kulingana na upungufu uliopo shuleni kwetu ili wapate kujua mahitaji ya wilaya tayari kwa kuyawasilisha mkoani kwa ajili ya walimu wanaotarajiwa kuajiriwa.
Hivyo suala la kwamba ajira lini sina uhakika nalo, ila kwa taarifa za chinichini nilizozisikia ni kwamba kwenye ajira za mwaka huu kipaumbele ni kwa walimu wa masomo ya sayansi,hisabati na lugha
Naomba kuwasilisha
 
Mimi ni mwalimu ninachokifahamu ni kwamba mwezi uliopita tulitakiwa kupeleka kwa afisa elimu mahitaji ya walimu wanaohitajika kulingana na upungufu uliopo shuleni kwetu ili wapate kujua mahitaji ya wilaya tayari kwa kuyawasilisha mkoani kwa ajili ya walimu wanaotarajiwa kuajiriwa.
Hivyo suala la kwamba ajira lini sina uhakika nalo, ila kwa taarifa za chinichini nilizozisikia ni kwamba kwenye ajira za mwaka huu kipaumbele ni kwa walimu wa masomo ya sayansi,hisabati na lugha
Naomba kuwasilisha


Kwa hiyo inaonekana bado tutasubiri sana kwani michakato ndo inaanza. Ila naona kwa mbaali msiba kwa sisi walimu wa arts
 
Hizi zote ni radio viuno hakuna mwenye data kamili zote ni fununu wat I know pengo la walimu 32 elfu lazima lizibwe
 
Hata mwaka jana wazushi kama NYNYI walikuemo humu JF na waliongeaaa maneno kama hayo ya kukatisha watu tamaaaa but at the end walimu waliajiriwaaaa
 
ile sms niliyotumiwa na kuipaste humu jamani ni kiashiria kizuri cha neema....lkn hivi hata mtu wa wizarani au tamisemi anakosekana kuja na kuleta hbr mpya??
 
Mimi ni mwalimu ninachokifahamu ni kwamba mwezi uliopita tulitakiwa kupeleka kwa afisa elimu mahitaji ya walimu wanaohitajika kulingana na upungufu uliopo shuleni kwetu ili wapate kujua mahitaji ya wilaya tayari kwa kuyawasilisha mkoani kwa ajili ya walimu wanaotarajiwa kuajiriwa.
Hivyo suala la kwamba ajira lini sina uhakika nalo, ila kwa taarifa za chinichini nilizozisikia ni kwamba kwenye ajira za mwaka huu kipaumbele ni kwa walimu wa masomo ya sayansi,hisabati na lugha
Naomba kuwasilisha

hivi kuna miaka ya nyuma ambayo serikali hawakutoa kipaumbele kwa walimu wa sayansi? kwa experience yako
 
kama ualimu tu ambao ilikuwa ni kimbilio la watoto wa masikini imekuwa hivi, kizazi hiki cha division five na straight to form four kitapata shida sana...

Najiuliza sana kuhusiana na hawa watunga sera watoto wao huwa wanawasomeshea hizi hizi sera zao ama vipi?
 
mwaka jana sayansi waliajiriwa 5000 sasa maybe mwaka huu watakua 6000 ina maana km ni hivyo wataajiriwa walimu 6000 tu...te teh tehh tehhee.....sifikirii wao ni wajonga kiasi hiki sasa wasipo ajiri walimu nfkr watakua wanajichombia kaburi
 
Hizi zote ni radio viuno hakuna mwenye data kamili zote ni fununu wat I know pengo la walimu 32 elfu lazima lizibwe

Lakini nakumbuka wakati majina ya ajira za walimu mwaka Jana yalipotoka kwa mafungu Mara vyuo vingine wahitimu wake wasionekane, kwenye kuyatolea majibu hayo maswali Dr kawambwa alitamka pia kuwa kwa upande wa walimu wa arts wamejitosheleza upungufu bado kwa walimu wa sayansi tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom