Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,186
- 3,421
sasa wale jkt wanamafunzo na wamesema wako tayari kupambana na polisi kwa kuwa wanamafunzo mazuri kuliko polisi....sasa ww mkuu una mafunzo ya kupambana na polisi?
Na hao jkt watapambana je na polisi wakati hawana silaha