Bora muandamane tu, la sivyo mtapeana matumain hewa. Nchi mwaka huu ina mambo mengi yanayohitaji pesa, na km mjuavyo pesa yaweza tengwa kwajli ya ktu flan badae divergency ikatokea
sasa wale jkt wanamafunzo na wamesema wako tayari kupambana na polisi kwa kuwa wanamafunzo mazuri kuliko polisi....sasa ww mkuu una mafunzo ya kupambana na polisi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.