Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Pata utulivu mkuu mda bado coz mwaka jana mzigo ulichomoka jioni jioni hivi
 
tusubiri tuone itakuaje lkn wadau kama nilivyowaambia msiwe na uhakika wa 100% kwa sababu hakuna proof yyte inayoindicate kua ajira zitatangazwa leo..so wadau wengine msije kuanza kula bata na vijisenti vilivyobaki mkadhani leo mambo ni byeeeeee mkakosa hata jero ya kununua bandle kuingilia jamiiforum
 
Ministry of Education and Vocational Training

This site is down for maintenance. Please check back again soon. Tovuti inafanyiwa marekebisho. Tafadhali iangalie tena muda sio mrefu

tanzania_logo.jpg


KUWENI NA SUBIRA MDA SI MREFU MTATABASAMU Afu mtakua na mapoz ka mr blue.
 
Unafikri tatizo la web wizara ya elimu lina uhusiano na ajira za walimu ? Ingekuwa tayar wangetumia alternative lkn majina bado kabisaaa
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa serikali yetu ya TZ hasa wizara ya elimu wameshindwa kutoa tamko juu ya ajira mpya za ualimu,

je! huu kweli ni uwajibikaji? kwann wasitoe tamko rasmi ili wahusika wajue kuwa ni lini?
 
Walimu wamechoka mitaani wanasubira tamko la serikali,

Haijulikani hatima ya waliojaza za ajira kuwa ni lini serikali litatoa tamko kwani Inawezekana ni kutokana na ombwe la uongozi au serikali hawana muda na walimu?
 
CCM hawana hela za kuajiri mwaka huu. wanawaza madaraka tu kwa sasa.
 
Gormahia

Mkuu umesema,kwel waalim wamechoka mtaani,wengne wameanza kufisadi mitaani hadi huruma.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom