Form four resutls zinatoka jumapili so hapo maybe walimu tuanze kukaa chonjo japo hawa watu mi cwaelewi maana mwaka huu wamekaa sana kimya kuliko miaka ya nyuma.....miaka ya nyuma muda km huu lazima wanakoa wanatoa updates.
Hata mwaka jana japo walichelewa kutoa ajira lkn walitoa updates mapema nfkr mwanzoni mwa february tu wakawa wametoa updates....lkn mwaka huu naona zzzzz.
Hata mwaka jana japo walichelewa kutoa ajira lkn walitoa updates mapema nfkr mwanzoni mwa february tu wakawa wametoa updates....lkn mwaka huu naona zzzzz.