Winga dalali
Senior Member
- Jul 20, 2021
- 192
- 263
Msaada wana JF,
Kuna mdogo wangu,alituma maombi ya kazi polisi, kwa kutumia cheti cha kidato cha nne (IV) waliambiwa wapeleke kwa makamanda wao wa mikoa, tofauti na wale weneye elimu kuanzia certficate hadi degree walituma maombi kwa njia ya mtandao.
Leo tovuti ya jeshi la polisi imetoa orodha ya majina waliofuzu kwenda hatua ya usaili.
Naomba msaada kujua hawa waliotumia cheti cha kidato cha nne majina yao watajuaje kama wamefuzu kwenda usaili? Au jeshi la polisi hutumia njia gani,kuwaita kwenye usaili?
Naomba kuwasilisha! 🙏 kwa anayefahamu tafadhali.
Kuna mdogo wangu,alituma maombi ya kazi polisi, kwa kutumia cheti cha kidato cha nne (IV) waliambiwa wapeleke kwa makamanda wao wa mikoa, tofauti na wale weneye elimu kuanzia certficate hadi degree walituma maombi kwa njia ya mtandao.
Leo tovuti ya jeshi la polisi imetoa orodha ya majina waliofuzu kwenda hatua ya usaili.
Naomba msaada kujua hawa waliotumia cheti cha kidato cha nne majina yao watajuaje kama wamefuzu kwenda usaili? Au jeshi la polisi hutumia njia gani,kuwaita kwenye usaili?
Naomba kuwasilisha! 🙏 kwa anayefahamu tafadhali.