Ajira za barrick gold!

Ajira za barrick gold!

zethumb

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
610
Reaction score
137
Wasalaam JF!

Napenda kuuliza jamani hawa Barrick utaratibu wao ukoje wa kuajiri maana mimi nilifanya vetting na consultant wa kampuni hii huko Masaki kitambo kidogo sasa ni miezi nane bila hata simu kuwa mmetoswa au taarifa yeyote ya kuendelea kuvumilia..

Swali langu ni je ndo wamenitosa au namna gani; Kwa mwenye updates za hawa jamaa na taratibu zao za kuajiri naomba msaada either niendelee na msoto mjini ama niwe na legitimate expectation...

Nawasilisha...:evil:
 
Subiri waamke wajuzi watakufahamisha!ila hujasema nafasi uliioomba
 
Uli interview kwa specific position? Miezi nane utakuwa umekosa.
 
Uli interview kwa specific position? Miezi nane utakuwa umekosa.

Tulifanyiwa vetting tu ndugu interview ndo ingefata baadae lakini ndo hola mpaka leo..na position tulizofanyiwa vetting ni specific ila napenda kutotaja maana inaweza kunidisclose hivyo kunijeopardize...
 
mimi ndio hua sielewi kama wanatafutaga kweli wafanya kazi kila kukicha au wanakijisiri chao doing research on our applications :A S angry:
 
mimi ndio hua sielewi kama wanatafutaga kweli wafanya kazi kila kukicha au wanakijisiri chao doing research on our applications :A S angry:

Vipi ndugu na wewe uko kwenye foleni hii ya vetted?
 
"Only successful candidates will be contacted"...

Na imani huu ujumbe unawekwa katika kila tangazo la kazi..

So ukiona kimya hujue your not succeed as hawawezi kumaliza vocha zao na muda kumpigia kila mtu aliyeomba,, wanaopigiwa ni waliofanikiwa
 
"Only successful candidates will be contacted"...

Na imani huu ujumbe unawekwa katika kila tangazo la kazi..

So ukiona kimya hujue your not succeed as hawawezi kumaliza vocha zao na muda kumpigia kila mtu aliyeomba,, wanaopigiwa ni waliofanikiwa

Ndugu tulifanyiwa selection tukaiitwa kwa ajili ya vetting jamaa kadhaa hivi ambao nawajua na bado wote tuko kitaa... kwa hiyo inshu ya ''"Only successful candidates will be contacted"... does not apply here...
 
Wasalaam JF!

Napenda kuuliza jamani hawa Barrick utaratibu wao ukoje wa kuajiri maana mimi nilifanya vetting na consultant wa kampuni hii huko Masaki kitambo kidogo sasa ni miezi nane bila hata simu kuwa mmetoswa au taarifa yeyote ya kuendelea kuvumilia..

Swali langu ni je ndo wamenitosa au namna gani; Kwa mwenye updates za hawa jamaa na taratibu zao za kuajiri naomba msaada either niendelee na msoto mjini ama niwe na legitimate expectation...

Nawasilisha...:evil:
hapo kwenye red ndo kuna tatizo
kama ni post nyeti sana inaweza kuchukua muda mrefu!
ila barrick mara nyingi ni 2 weeks wanaitwa watu kazini
best of luck mkuu for long wait!
 
hapo kwenye red ndo kuna tatizo
kama ni post nyeti sana inaweza kuchukua muda mrefu!
ila barrick mara nyingi ni 2 weeks wanaitwa watu kazini
best of luck mkuu for long wait!

hata jamaa alitwambia ni wiki mbili ila ndo mpaka leo..anyway kama washatuchakachua si mbaya ndugu ngoja tugange yajayo...
 
Nafanya nao kazi barrick,am not sure kama wanatumia ma agent au consultant kupata wafanyakazi.nijuavyo wao hutangaza ajira then shortlisted candidates huitwa kwenye interview at the specific mime site hiyo ya veting ndio naisikia leo.miez nane sahau mkuu.
 
barrick wapuuz sn, wanatngaz kama kutimiz wajb tu, lakn kiukwel tayar wanakua na watu wao..ukiingia ofic za HR bulyanhulu utajionea hawana mda hata wa kusoma aplications zako ni moja kwa moja kwenye dustbin, sasa hua najiuliz kwann wanatangaza nafas?
 
Napenda sana siku moja nifanye kazi migodini nifanye saving 100% kwa miaka 4 hivi ni raise capital ya nguvu (tegemea mshahara)..then nijiajiri ndio naota sana wajuzi naomba msaada kupata kazi za Project Management huko migodini!
 
barrick wapuuz sn, wanatngaz kama kutimiz wajb tu, lakn kiukwel tayar wanakua na watu wao..ukiingia ofic za HR bulyanhulu utajionea hawana mda hata wa kusoma aplications zako ni moja kwa moja kwenye dustbin, sasa hua najiuliz kwann wanatangaza nafas?

wanatia hasira...mshikaji fulani alituma barua geita gold mine na majibu yakarudi kwa hana vigezo, cha kushangaza akapost maombi kama yale yale kwa upande wa zambia kwenye mgodi wa lumwana, majibu yalirudishwa vizuri wakimtaka wakati bongo wanabana na sasa mchizi anakula good life
 
nadhan wakati hawa jamaa wanapewa mkataba na wakubwa waliaambiwa wazingatie kuajiri wazawa ...asa wenyewe wanachokifanya ni chenga la macho ni kutangaza kipitia kwenye vyombo vya habari wakati tayari nafasi zina watu..
kweli hii hali inaumiza kweli mtu kazi hana afu anatoa copy kila kukicha afu mwisho wa siku hazisomwi wala nn ..kitu kinatupwa samwea dah hii ni balaa ...sijui kama hawa watu wana dini au lal...
 
barrick wapuuz sn, wanatngaz kama kutimiz wajb tu, lakn kiukwel tayar wanakua na watu wao..ukiingia ofic za HR bulyanhulu utajionea hawana mda hata wa kusoma aplications zako ni moja kwa moja kwenye dustbin, sasa hua najiuliz kwann wanatangaza nafas?

Clemoo ndo hicho kinacho nishangaza wanatuzuga mjini wanaendelea na mambo yao...anyway life continues...
 
Back
Top Bottom