zethumb
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 610
- 137
Wasalaam JF!
Napenda kuuliza jamani hawa Barrick utaratibu wao ukoje wa kuajiri maana mimi nilifanya vetting na consultant wa kampuni hii huko Masaki kitambo kidogo sasa ni miezi nane bila hata simu kuwa mmetoswa au taarifa yeyote ya kuendelea kuvumilia..
Swali langu ni je ndo wamenitosa au namna gani; Kwa mwenye updates za hawa jamaa na taratibu zao za kuajiri naomba msaada either niendelee na msoto mjini ama niwe na legitimate expectation...
Nawasilisha...:evil:
Napenda kuuliza jamani hawa Barrick utaratibu wao ukoje wa kuajiri maana mimi nilifanya vetting na consultant wa kampuni hii huko Masaki kitambo kidogo sasa ni miezi nane bila hata simu kuwa mmetoswa au taarifa yeyote ya kuendelea kuvumilia..
Swali langu ni je ndo wamenitosa au namna gani; Kwa mwenye updates za hawa jamaa na taratibu zao za kuajiri naomba msaada either niendelee na msoto mjini ama niwe na legitimate expectation...
Nawasilisha...:evil: