Ajira za askari zishatoka?

Ajira za askari zishatoka?

Bado hazijatoka na hata zikitoka zitawahusu wale waliopo jkt au kama watachukua mtaani basi watachukua wale waliopitia mafunzo ya jkt ya mujibu wa sheria
Mtaani wanatumia utaratibu gani mkuu ili watu tuweze kujua maana hali si hali huku
 
Bado hazijatoka na hata zikitoka zitawahusu wale waliopo jkt au kama watachukua mtaani basi watachukua wale waliopitia mafunzo ya jkt ya mujibu wa sheria
Napenda kujiunga na jeshi na sina cheti cha form four je kuna uwezekano wakupata nafasi nakama tapata inatakiwa niwe na vigezo vipi
 
Mtaani wanatumia utaratibu gani mkuu ili watu tuweze kujua maana hali si hali huku
Utaratibu Ulikua unatangazwa kupitia kwa makamanda wa polisi wa mikoa ila kwa siku izi cjui ipoje
 
Back
Top Bottom