Siachi hela
Senior Member
- Jun 17, 2022
- 136
- 248
Waziri wa tamisemi juzi alitangaza kuwa wako katika hatua za mwisho kuajiri watendaji wa kata zaidi ya 500.
Naomba Kwa anaefahamu mchakato wa kuwapata hao watumishi ukoje?
Maana sikuwahi kuona nafasi hizi zikitangazwa kama AJIRA zingine.
Nishauri kama kijana ninaetamani, nami sikumoja nilitumikie taifa langu kwa nafasi kama hiyo, je nifanye nini?
Naomba Kwa anaefahamu mchakato wa kuwapata hao watumishi ukoje?
Maana sikuwahi kuona nafasi hizi zikitangazwa kama AJIRA zingine.
Nishauri kama kijana ninaetamani, nami sikumoja nilitumikie taifa langu kwa nafasi kama hiyo, je nifanye nini?