Peretti
Member
- Nov 29, 2020
- 79
- 171
Ndo hawakuitiUkipandisha cheti original kuna ugumu gani utakuepo?
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Ndo hawakuitiUkipandisha cheti original kuna ugumu gani utakuepo?
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Na wewe umeitwa nini!Hivi Kuna mtu Hadi saa hii analia kuwa ameachwa kuitwa Interview ya TRA...??
Hakuna uhakika wa 💯% kuwa huitwi.. naamini huu mkeka wa TRA wengi tu hawakucertify vyeti Ila wameongezwa pia.. naona sio issue kozi watu wataenda na vyeti vyaoNdo hawakuiti
NopNa wewe umeitwa jini!
Hiyo Namba 9 ni baba lao.Ajira portal saivi wapo serious...
1. Hakikisha profile yako umejaza vizuri. Kila kipengele ukijaze yaani profile ifike angalau asilimia 80.
2. Hakikisha vyeti vyako vipo verified na mwanasheria.
3. Pitia page kila siku... mara nyingi wanaowahi kuapply ndo chance kubwa ya kuitwa.
4. Weka CV current
5. Sehemu ya picha hakikisha ina picha yako official... yaani presentable.
6. Barua ya kuombea kazi lazima iwe official. Iwe na anuani yako na ya utumishi bila kisahau kutia sahihi... yaani kama huwezi mambo ya kuprint na kuscan tengeneza e-signature.
Barua zisizo na signature hazipewi kipaumbele.
7. Hakikisha kazi unayoomba unakidhi vigezo
8. Sasahivi wanataka uweke na namba ya NIDA
9. Maombi kwa Mungu wako ni muhimu zaidi.
sijapata kitambulisho bado boss, nadhani nikipata kitambulisho ndo nitathibitishaSasa wanakwambiaje hakuna tatzo wakat kuna tatzo?? Yaan wao ndo wanakuamulia wakat kitambulisho n chako?
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Oteas Huko ni kwenye Ajira za walimu blaza hakuna interview huko kk huku utumishi tuachie sis tukaijaze dodomaKwa wajuzi tu naomba kufahamu tofauti ya Ajira portal na Oteas
Je, kama muombaji wa nafasi ya ualimu anahusika wapi zaidi kwenye Ajira portal or oteas ?
Ova..
Mm ilikua inanigomea niliadd vyeti km mara kumi mpk wakakubali
Hapana usaili tuUmeitwa kazin tayar
Taja mojaNimeapply sehemu tofauti tofaut siwezi kukumbuka zote mkuu
Taja moja
Inakuaje hukumbuki hata kitu ulichoomba then uilaumu ajira portal kuwa inakutema?Sikumbuki ila profile yangu iko 91%
OvaOteas Huko ni kwenye Ajira za walimu blaza hakuna interview huko kk huku utumishi tuachie sis tukaijaze dodoma
Ova
Something is wrong with you!!Sikumbuki ila profile yangu iko 91%
Kwanini watu wasitume vyeti original?Hakuna uhakika wa% kuwa huitwi.. naamini huu mkeka wa TRA wengi tu hawakucertify vyeti Ila wameongezwa pia.. naona sio issue kozi watu wataenda na vyeti vyao
Tunaomba ufafanuzi hapo namba 4. Kuna C.V ya nje inahitajika ukiacha ile general iliyo kwenye profile!?.Ajira portal saivi wapo serious...
1. Hakikisha profile yako umejaza vizuri. Kila kipengele ukijaze yaani profile ifike angalau asilimia 80.
2. Hakikisha vyeti vyako vipo verified na mwanasheria.
3. Pitia page kila siku... mara nyingi wanaowahi kuapply ndo chance kubwa ya kuitwa.
4. Weka CV current
5. Sehemu ya picha hakikisha ina picha yako official... yaani presentable.
6. Barua ya kuombea kazi lazima iwe official. Iwe na anuani yako na ya utumishi bila kisahau kutia sahihi... yaani kama huwezi mambo ya kuprint na kuscan tengeneza e-signature.
Barua zisizo na signature hazipewi kipaumbele.
7. Hakikisha kazi unayoomba unakidhi vigezo
8. Sasahivi wanataka uweke na namba ya NIDA
9. Maombi kwa Mungu wako ni muhimu zaidi.