Ajira Portal

Ajira Portal

Mi nlishagive up na AJIRA PORTAL. Ishu iko hivi. Unajuwa namba nne za mwanzo za NIDA kwa kawaida huwa zinawakilisha mwaka wa kuzaliwa ila mimi kwangu kwenye ile namba mwaka wa kuzaliwa unaonekana ni mkubwa ( NIDA WALIKOSEA) sasa nikawafuata NIDA wakaniambia kuwa haiwezi kuleta shida kwenye kitambulisho cha taifa maana namba itabaki kuwa namba tu na kwenye miaka kutakuwa na miaka yangu halisi na hakutakuwa na tatizo lolote lile so hawakubadilisha. so nime give up na kuomba kazi ajira portal maana wao wameamua kuzitreat zile namba nne za mwanzo kama mwaka wangu wa kuzaliwa kwa hiyo kila kazi ninayoomba naambiwa kuwa umri umezidi sana (yaani mkubwa sana) so sijaqualify kwa hiyo kazi.
 
Ajira portal saivi wapo serious...
1. Hakikisha profile yako umejaza vizuri. Kila kipengele ukijaze yaani profile ifike angalau asilimia 80.
2. Hakikisha vyeti vyako vipo verified na mwanasheria.
3. Pitia page kila siku... mara nyingi wanaowahi kuapply ndo chance kubwa ya kuitwa.
4. Weka CV current
5. Sehemu ya picha hakikisha ina picha yako official... yaani presentable.
6. Barua ya kuombea kazi lazima iwe official. Iwe na anuani yako na ya utumishi bila kisahau kutia sahihi... yaani kama huwezi mambo ya kuprint na kuscan tengeneza e-signature.
Barua zisizo na signature hazipewi kipaumbele.
7. Hakikisha kazi unayoomba unakidhi vigezo
8. Sasahivi wanataka uweke na namba ya NIDA
9. Maombi kwa Mungu wako ni muhimu zaidi.
Bongo ndo nchi pekee ambayo mtu unasoma mpaka degree, unapewa na cheti lakn huitwi kwenye intavyuu kisa huna kitambulisho cha NIDA

Sent from my Vx V8
 
Mi nlishagive up na AJIRA PORTAL. Ishu iko hivi. Unajuwa namba nne za mwanzo za NIDA kwa kawaida huwa zinawakilisha mwaka wa kuzaliwa ila mimi kwangu kwenye ile namba mwaka wa kuzaliwa unaonekana ni mkubwa ( NIDA WALIKOSEA) sasa nikawafuata NIDA wakaniambia kuwa haiwezi kuleta shida kwenye kitambulisho cha taifa maana namba itabaki kuwa namba tu na kwenye miaka kutakuwa na miaka yangu halisi na hakutakuwa na tatizo lolote lile so hawakubadilisha. so nime give up na kuomba kazi ajira portal maana wao wameamua kuzitreat zile namba nne za mwanzo kama mwaka wangu wa kuzaliwa kwa hiyo kila kazi ninayoomba naambiwa kuwa umri umezidi sana (yaani mkubwa sana) so sijaqualify kwa hiyo kazi.
Hlo tatzo linarekebishika mzee nenda ulikochukulia hcho kitambulisho chako kawaeleze,,, weka uso mbuz usiende na mwonekano wa kiunyonge nyonge

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
sijachukua kitambulisho bado maana hakijatoka bado na nilishaenda wakaniambia hakuna tatizo lolote asee, maana hata katika infor zangu sikukosea kitu asee.
Hlo tatzo linarekebishika mzee nenda ulikochukulia hcho kitambulisho chako kawaeleze,,, weka uso mbuz usiende na mwonekano wa kiunyonge nyonge

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Mi nlishagive up na AJIRA PORTAL. Ishu iko hivi. Unajuwa namba nne za mwanzo za NIDA kwa kawaida huwa zinawakilisha mwaka wa kuzaliwa ila mimi kwangu kwenye ile namba mwaka wa kuzaliwa unaonekana ni mkubwa ( NIDA WALIKOSEA) sasa nikawafuata NIDA wakaniambia kuwa haiwezi kuleta shida kwenye kitambulisho cha taifa maana namba itabaki kuwa namba tu na kwenye miaka kutakuwa na miaka yangu halisi na hakutakuwa na tatizo lolote lile so hawakubadilisha. so nime give up na kuomba kazi ajira portal maana wao wameamua kuzitreat zile namba nne za mwanzo kama mwaka wangu wa kuzaliwa kwa hiyo kila kazi ninayoomba naambiwa kuwa umri umezidi sana (yaani mkubwa sana) so sijaqualify kwa hiyo kazi.
Hapo nenda tena nida tena waambie me Sina namba ya nida uanze kujisajiri upya maana haiwezekani wakukoseshe kazi 7bu ya mistakes zao alah..
Ni mawazo yangu lkn
 
Mi nlishagive up na AJIRA PORTAL. Ishu iko hivi. Unajuwa namba nne za mwanzo za NIDA kwa kawaida huwa zinawakilisha mwaka wa kuzaliwa ila mimi kwangu kwenye ile namba mwaka wa kuzaliwa unaonekana ni mkubwa ( NIDA WALIKOSEA) sasa nikawafuata NIDA wakaniambia kuwa haiwezi kuleta shida kwenye kitambulisho cha taifa maana namba itabaki kuwa namba tu na kwenye miaka kutakuwa na miaka yangu halisi na hakutakuwa na tatizo lolote lile so hawakubadilisha. so nime give up na kuomba kazi ajira portal maana wao wameamua kuzitreat zile namba nne za mwanzo kama mwaka wangu wa kuzaliwa kwa hiyo kila kazi ninayoomba naambiwa kuwa umri umezidi sana (yaani mkubwa sana) so sijaqualify kwa hiyo kazi.
pole mkuu... ungewapigia secretariat wenyewe kufafanua. Usi give up
 
Ajira portal saivi wapo serious...
1. Hakikisha profile yako umejaza vizuri. Kila kipengele ukijaze yaani profile ifike angalau asilimia 80.
2. Hakikisha vyeti vyako vipo verified na mwanasheria.
3. Pitia page kila siku... mara nyingi wanaowahi kuapply ndo chance kubwa ya kuitwa.
4. Weka CV current
5. Sehemu ya picha hakikisha ina picha yako official... yaani presentable.
6. Barua ya kuombea kazi lazima iwe official. Iwe na anuani yako na ya utumishi bila kisahau kutia sahihi... yaani kama huwezi mambo ya kuprint na kuscan tengeneza e-signature.
Barua zisizo na signature hazipewi kipaumbele.
7. Hakikisha kazi unayoomba unakidhi vigezo
8. Sasahivi wanataka uweke na namba ya NIDA
9. Maombi kwa Mungu wako ni muhimu zaidi.
@Labani og
 
Skizeni nyie, Utumishi wamesikia vilio vyenu, wale waliachwa kuitwa usailini kwa 7bu mbalimbali basi fahamuni mmeitwa huko mkajaze nyomi Mkeka mwingine wa wasailiwa TRA umetoka tena Kuna baadhi ya vitengo watu kama wote.. ingia tovuti husika ucheck jina lako kama ulikosa Mwanzo maana Kuna watu walishakata tamaa na hawataki kabisa kupitia accounts zao
 
Ww itakuwa unaikumbuka portal kipindi nafasi zimetangazwa unakuwa na wenge hyo inatakiwa ijazwe taratibu tena sasa hv ndio ngumu kuliko zamani maana ukikosea option ya kufuta ngumu unatakiwa umakini na usisahu Ku verify vyeti vyako toa copy peleka mahakamani pamoja na original zako zile copy zitakazo kuwa verified ndio unazi upload,
Ukipandisha cheti original kuna ugumu gani utakuepo?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Hapo nenda tena nida tena waambie me Sina namba ya nida uanze kujisajiri upya maana haiwezekani wakukoseshe kazi 7bu ya mistakes zao alah..
Ni mawazo yangu lkn
Hii nayo idea nzuri afu ukizingatia hii mifumo ya NIDA haiko centralized.

Sent from my landrover DISCOVERY 4
 
Back
Top Bottom