PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Tanzania kumekuwepo na mtindo wa Watu binafsi na Makampuni mbalimbali kuajiri wafanyakazi pasipokufuata mashariti yaliyowekwa na serikali kupitia sheria za kazi(ELRA No.6 na LIA No.7 za 204)
Wafanyakazi wengi wamekua wakiangaika na kuteseka kwa kufanya kazi ngumu, kwa muda mrefu na kwa ujira(mshahara) mdogo kinyume na viwango villlivyowekwa na Bodi ya mishahara kwa kila sekta husika.
Cha ajabu , kwa upande wa mwajiri binafsi utakuta mambo yake yanaenda vizzuri n lkn wafanyakazi wake wanahaaa hawapati ujira wao kwa muda muhafaka na hata wakiupata haukidhi ahaja kwani unakuwa uko chini ya kiwango. Na kwenye makampuni uko ndo basi, manyanyaso ni mtindo mmoja.
Jitihada za kina zinafanyika kunusuru hali hii, ila kutokuwepo na ushirikiano ktkati ya vyombo husika na wadau kuna pelekea tatizo kujizatiti miongoni mwa waajiri.
Usimamizi wa sheria kwa nyuma naweza kusema labda ulikuwa si mzuri, kwa sasa mambo yamebadilika; wasimamizi wako macho na wanafatilia na ndo maana nimeamua kuyasema haya:: mwajiri shariti aendane na Sheria za kazi zinavyosema, la sivyo Haki ya kuajiri au kuanzisha kampuni kwa minajiri ya kuwa na wafanyakazi haitakuwepo bila kuzingatia sheria za kazi (ELRA No 6 na LIA. No 7 za 2004)
Wafanyakazi wengi wamekua wakiangaika na kuteseka kwa kufanya kazi ngumu, kwa muda mrefu na kwa ujira(mshahara) mdogo kinyume na viwango villlivyowekwa na Bodi ya mishahara kwa kila sekta husika.
Cha ajabu , kwa upande wa mwajiri binafsi utakuta mambo yake yanaenda vizzuri n lkn wafanyakazi wake wanahaaa hawapati ujira wao kwa muda muhafaka na hata wakiupata haukidhi ahaja kwani unakuwa uko chini ya kiwango. Na kwenye makampuni uko ndo basi, manyanyaso ni mtindo mmoja.
Jitihada za kina zinafanyika kunusuru hali hii, ila kutokuwepo na ushirikiano ktkati ya vyombo husika na wadau kuna pelekea tatizo kujizatiti miongoni mwa waajiri.
Usimamizi wa sheria kwa nyuma naweza kusema labda ulikuwa si mzuri, kwa sasa mambo yamebadilika; wasimamizi wako macho na wanafatilia na ndo maana nimeamua kuyasema haya:: mwajiri shariti aendane na Sheria za kazi zinavyosema, la sivyo Haki ya kuajiri au kuanzisha kampuni kwa minajiri ya kuwa na wafanyakazi haitakuwepo bila kuzingatia sheria za kazi (ELRA No 6 na LIA. No 7 za 2004)