Ajira Mwalim Mkuu na Walimu wengine shule ya Waislam

Ajira Mwalim Mkuu na Walimu wengine shule ya Waislam

Hao jamaa wana ubaguzi sana...! Wanaajiriana wenyewe kwa wenyewe.
Hapa wewe ndio umeanza ubaguzi, ulienda ukabaguliwa? Mshaanza kumbagua hata mama itakuwa mzee wa madrasa! Unanshangaza!
 
Njoo tukuajiri ufundishe watoto kuswali kama alivyo swali Yesu AS.
Mkuu kuna binti amesoma Muslim University of Morogoro kozi ya Procurement and Logistics ngazi ya Diploma, nimempa namba yako kesho inshaallah atakutafuta, naomba kwa heshima ya jamiiforums umzingatie kwa sababu ni binti anayejituma sana na mwenye nidhamu ya hali ya juu. Ukimfanyia usaili utagundua hilo. Anaitwa Rahma Said
 
Mkuu kuna binti amesoma Muslim University of Morogoro kozi ya Procurement and Logistics ngazi ya Diploma, nimempa namba yako kesho inshaallah atakutafuta, naomba kwa heshima ya jamiiforums umzingatie kwa sababu ni binti anayejituma sana na mwenye nidhamu ya hali ya juu. Ukimfanyia usaili utagundua hilo. Anaitwa Rahma Said
In shaa Allah. Tena kwa kukujuza tu, kipaumbele cha hapa Abraar ni (empowerment) kwa kin mama. Anakaribishwa anytime aje ajionee mazingira yetu ya kazi.

Tabaraka Allah.
 
Napenda kuwafahamisha kuwa nafasi ya Mwalimu Mkuu imeshajazwa.

Sasa hivi tunatafuta Walimu wawili wa chekechea, kg 1 to 3 wa kike wenye uzoefu wa kufundisha English Medium na wanaofahamu Arabic itakuwa ni added advantage kwao.
Kumetokea uhitaji mwengine wa Walimu wa chekechea.

Walimu wazoefu mnakaribishwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom