Wana jf naombeni ushauri khsu huyu mdogo wangu. Amemaliza degree ya ualimu pale mlimani mwaka jana na akapata nafasi kufundisha private. Huko take home yake ni laki 6 na elfu 30 (630,000/=). Amepangiwa pia serikalini iringa(v) ambako take home ni laki 3 na 81 (381,000). Je aendelee na private au aende serikalini?