Ajira mpya 1241 kutoka Jeshi la Magereza Tanzania

Mr pianoman

JF-Expert Member
May 22, 2019
2,551
6,110
Tangazo halina mbwembwe sana ni kwa yeyote yule mwenye elimu ya kidato cha nne na umri usiozidi miaka 33.

1.jpg

2.jpg

3.jpg
 
Majeshi sasahivi hayachukui graduates mana graduates wanajua kuhoji na wana jenga logic.

Majeshi yanataka wenye upeo mdogo wa akili..wasio weza kujenga logic wala kuhoji.

Dunia ipo kwenye karne ya techologia na sayansi sisi tumejikita kwenye u primitive wala hatuna wasiwasi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuendana na uelewa wangu nimechambua na kukuwekea mbinu za kuweza kupata kazi za jeshi au kufanya vizuri sana jeshini
 
Usijidanganye hakuna mbinu hizo TZ zaid ya connection had sahiz kuna vijana zaid ya vijana 6000 wanapiga course ya tpdf na hujaskia sehemu wametangaza jiulize wametoka wapi
wewe usifanye kitu kwa kukariri fanya kilicho bora kwanza then ujirank kuna watu wanapata kazi kupitia ubora wao na si connection tu na wakati mwingine connection hujitengeneza kutokana na ubora wako

ndio maana kwenye cv pia unaweka detail za watu ambao wanaweza kukuelezea vyema either upande wa ubora au upande wa mapungufu yako nayo hii si connection?
 
Majeshi sasahivi hayachukui graduates mana graduates wanajua kuhoji na wana jenga logic...
Sishangazwi na hiyo logic sababu majeshi yetu yanaonekana kuendeshwa kijima kabisa, non productive, hakuna ubunifu.

tembelea miradi ya magereza utakuta wanafuga ngombe hawaongezeki, wanalima hawapati faida, biashara za thamani unakuta bei ghali kuliko za mtaani.

Jeshi kama la magereza linahitaji wasomi waingizwe na waruhusiwe kuwa wabunifu watafika mbali.

lakini wakiendelea kutumia akili za wakubwa wao wa sasa ni mizigo tu
 
wewe usifanye kitu kwa kukariri fanya kilicho bora kwanza then ujirank kuna watu wanapata kazi kupitia ubora wao na si connection tu na wakati mwingine connection hujitengeneza kutokana na ubora wako

ndio maana kwenye cv pia unaweka detail za watu ambao wanaweza kukuelezea vyema either upande wa ubora au upande wa mapungufu yako nayo hii si connection?
Umesema vyema sana. Kuna vijana wanawakatisha tamaa vijana wenzao kwa kisingizio cha connection.

Mi nna kaka yangu alikuwa JKt na amechaguliwa kwenda TPDF bila connection yeyote, isipokuwa ni ujuzi wake kwenye mpira.

Mimi mwenyewe ni mfano hai, kazi ninayofanya siku hizi, niliipata bila hata connection, tena wakati naenda kwenye interview, watu walinikatisha sana tamaa. Lakini Mungu akasimama upande wangu.
 
Sishangazwi na hiyo logic sababu majeshi yetu yanaonekana kuendeshwa kijima kabisa, non productive, hakuna ubunifu.

tembelea miradi ya magereza utakuta wanafuga ngombe hawaongezeki, wanalima hawapati faida, biashara za thamani unakuta bei ghali kuliko za mtaani.

Jeshi kama la magereza linahitaji wasomi waingizwe na waruhusiwe kuwa wabunifu watafika mbali.

lakini wakiendelea kutumia akili za wakubwa wao wa sasa ni mizigo tu
Katika vyombo vyote vya ulinzi na usalama, magereza ni chombo cha hovyo sana. Hawataki wasomi wakuliendesha jeshi, wanataka elimu ndogo tuu ya kumlinda mfungwa. Magereza kujiendeleza ukiwa kazini nasikia wanabana sana au hutopanda daraja. JW vijana wadogo tuu under 30 unakuta ni maofisa (Wana nyota). Ndomaana magereza hata mtaani hawana status kama wenzao mf TISS, JWTZ, polisi, uhamiaji, fire,
 
Back
Top Bottom