Ajira: Kuipigania Urusi huko Ukraine, Mstari wa mbele $ 7000 na mstari wa nyuma $3500. Nafasi ni kwa raia wa nchi zote duniani

Kwani nikijiandikisha kisha nikasikilizia mtonyo $50,000 wa kuachia familia baada ya muamala kusoma naenda toilet au kwenye septic tank nachota kindoo kimoja cha ubwalando kisha nachota upao mmoja natumai kipindupindu kitalipuka nadhani muingoza kikosi bwana Lumbwegesatov akisikia hali yangu ataniweka kwenye list ya majeruhi yaani intestinal accident au niaje wakulungwa.
 
Ili kuonesha mapenzi yako ya dhati huitaji kulipwa kuipigania nchi unayoipenda! Naanza kuwa na mashaka na wa Ukaraine wa Mbagala! Ni manafiki! Unataka utangaziwe dau??
Vita ni kufa na kupona, Unaendaje vitani bila kupelekwa? Kila Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake!! In SSH Voice.
Kwani Mwanamke unayempenda humpi pesa?
 
Vita ni kufa na kupona, Unaendaje vitani bila kupelekwa? Kila Mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake!! In SSH Voice.
Kwani Mwanamke unayempenda humpi pesa?
Wanasema kama hujashirikishwa usijishirikishe! Serikali ya Ukraine haijakuita umechagua kujipeleka mwenyewe! Tumia pesa yako mwenyewe kwenda huko! Hakuna mtu kakuomba uende! Hakuna aliyekulazimisha uende! Huitaji mtu wa kukupa hela!

Hata hivyo pesa siyo kila kitu! Unaweza kupigana hata kwa kushauri tu! Watumie ushauri hata kwa email tu utakuwa umewasaidia pia!
 
Kha! Najaza wapi maomb ya kujiunga, nikiachia familia $50,000 kisha nikae mstari wa nyuma, mambo yakishindikana natoweka...

Lakini kuna uwalakini kwenye hizi tarifa, hawa hawa Warusi ambao wamekosa chakula cha kuwapa wanajeshi wao ndio watalipa huo mkwanja?
 
Kwani nikijiandikisha kisha nikasikilizia mtonyo $50,000 wa kuachia familia baada ya muamala kusoma naenda toilet au kwenye septic tank nachota kindoo kimoja cha ubwalando kisha nachota upao mmoja natumai kipindupindu kitalipuka nadhani muingoza kikosi bwana Lumbwegesatov akisikia hali yangu ataniweka kwenye list ya majeruhi yaani intestinal accident au niaje wakulungwa.
Usidanganyike mrusi tapeli hana dola hata moja ya kulipa.Atakulipeje amezuiliwa na kupigwa marufuku kutumia Dola,Euro,pound na Japanese Yen

Kwenye Swift kafungiwa.Akaunti zote za dola zimekuwa Frozen.Eti utalipwa kwa dola.Dola zopi wakati hana
Chukulieni hill tangazo kama tangazo la kitapeli
 
Labda tufanye hesabu zile za wale wahamasishaji wa fursa . $50,000 ni sawa na Sh.115,000,000(milioni 115).Fanya tuu ni Sh100,000,000.Chukua nusu yake(m50) fanya uwekezaji mkubwa kwenye kilimo cha matikiti,zinazobaki fuga samaki sato(si unajua sasa hivi soko liko kwa wakomoro).Wachie familia hiyo miladi ili wawe wana pata mia mia za kuwasaidia wakati wewe uko vitani unapambana. ukienda kule Urusi wee jikalie zako nyuma,sababu kukaa mbele siku zote ni kiherehere.Hivyo utapata $3,500 sawa na sh.8,000,000 kwa mwezi.kwa sababu kule mnapewa kila kitu,mshahara utakutana na mshahara.Fanya hapo miezi yako 11 tu ili upate milion 88 zako. Halafu omba kuacha kazi,ili urudi bongo.Kwa sababu umeamua kuacha kazi mwenyewe watakunyima nauli ya kurudi nyumbani,wambie isiwe kesi,chukua mshahara mmoja lipia ndege .unabaki na milioni 80,000. Rudi bongo.kwa sababu kule utakuwa umepata hela na kujua na kuongea kizungu.hivyo anza biashara za kwenda china kuleta mizigo kariakoo.
Unafkr vita ni mchezo wa biko , frontline unapangiwa ,, et unakaa nyuma..!! Tena nyie wa kulanguliwa mnawekwa active enermy area ,
 
Kwa wale waliopita jeshini na wanatamani kupata ajira za kijeshi na siyo za Knight Support basi Urusi imetangaza ajira kibao.

Watakaopigana mstari wa mbele malipo ni $7000 na unapewa $50,000 za kuachia familia unapoondoka.

Watakaopigana mstari wa nyuma kama wasaidizi wa wapiganaji malipo ni $3500 na utapewa $50,000 za kuachia familia.

Tangazo ni kwa raia wa nchi zote wenye uhaba wa ajira.

Source: Al jazeera/ BBC

Maendeleo hayana vyama!
Sifa za kujiunga?
 
To be converted to rubles
Tanzania hizo rubles ulishawahi hata kuziona popote liwe duka la kubadilisha pesa za kigeni au benki au hata mitaani zikuzwa Walau kwa magendo?

Ukipewa hiyo mi rubles utampa nan na utaibadilisha wapi? Si sawa tu ns kulipwa matakataka tu yasiyoweza nunua hata kitimbua kwa mama ntilie
 
Unaishi Chaka gan kaka mbona hiyo ishu imetangazwa kitambo
SIjapinga Kuhusu Kutangazwa mkuu; Kutangazwa sio ishu behind ya scene ya Tangazo, Ivi kweli Yule jamaa wa Ukraine Kutwa analialia mitandaoni kwamba Urusi anaua Raia wake, Mara alisema Kwamba Ameua Askari 7000 wa urusi kesho yake anakuja kulia tena kwamba vita hiyo itamalizwa kwa mazungumzo tu, maana urusi anaua Raia wa ukraine. Tuelewe ipi sasa?

ndio maana nasema Ninamashaka na hilo tangazo kama ni kweli Urusi ameomba kweli au ni propaganda za kufanya dunia ione mrusi ameshindwa vita.
 
SIjapinga Kuhusu Kutangazwa mkuu; Kutangazwa sio ishu behind ya scene ya Tangazo, Ivi kweli Yule jamaa wa Ukraine Kutwa analialia mitandaoni kwamba Urusi anaua Raia wake, Mara alisema Kwamba Ameua Askari 7000 wa urusi kesho yake anakuja kulia tena kwamba vita hiyo itamalizwa kwa mazungumzo tu, maana urusi anaua Raia wa ukraine. Tuelewe ipi sasa?

ndio maana nasema Ninamashaka na hilo tangazo kama ni kweli Urusi ameomba kweli au ni propaganda za kufanya dunia ione mrusi ameshindwa vita.
Vita ni pesa au Uchumi mkuu Kwa kulinganisha hizo nchi ni dhaihili Russia ana Uchumi mkubwa kuliko Ukrain.Ukraini ina lalamika Kwa sababu Imevamiwa au umesikia Kuna sehemu Russia Imevamiwa na Ukrain?
 
Vita ni pesa au Uchumi mkuu Kwa kulinganisha hizo nchi ni dhaihili Russia ana Uchumi mkubwa kuliko Ukrain
Pamoja na Kuvamiwa Ukrain ila ukifwatilia Takwimu za Zelensky utagundua yeye ndio ameua Askari wengi wa Urussi, lakini bado haishi kulalamika? Ndio maana nasema hii vita Ina propaganda nyingi mno na propaganda ni za US na washirika wake; Urusi kweli aombe support nchi nyingine duniani, huku Akiwa na watu wa uhakika kama Chenchnyia etc.
 
Back
Top Bottom