mkwawa gabriel
Senior Member
- Apr 7, 2012
- 100
- 23
Nidhahiri kwamba jeshi la wananchi wa tanzania limeacha kuajiri vijana kutoka mikoani(Wilayani pamoja na vijijini) moja kwa moja kujiunga na jeshi hilo.
Instead ina ajiri moja kwa moja kwa usahili unaofanyika kila mwaka ktk vikosi vya JKT ambapo Police,Magereza TANAPA na Usalama wa Taifa nao wanafanya Usahili wao hukohuko xo jamani na washauri vijana wenzangu ambao wanapenda kujiunga na(JWTZ,USALAMA WA TAIFA YAANI-TANZANIA INTELLIGENCE SECURITY SERVICE(TISS),POLICE,MAGEREZA TANAPA nakadharika nawashauri wajiunge kwanza na JKT ndio ita show way kujiunga na vikosi mbalimbali vya kijeshi hapa nchi.
Mfano leo Vijana wa JKT wameondoka ktk kambi ya ITENDE Mbeyakuanza mafunzo ya JWTZ ktk kambi ya MAFINGA na kambi zingine za JKT Source fro insideITENDE COMBAT.
NAWATAKIENI MAANDAALIZI MEMA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Instead ina ajiri moja kwa moja kwa usahili unaofanyika kila mwaka ktk vikosi vya JKT ambapo Police,Magereza TANAPA na Usalama wa Taifa nao wanafanya Usahili wao hukohuko xo jamani na washauri vijana wenzangu ambao wanapenda kujiunga na(JWTZ,USALAMA WA TAIFA YAANI-TANZANIA INTELLIGENCE SECURITY SERVICE(TISS),POLICE,MAGEREZA TANAPA nakadharika nawashauri wajiunge kwanza na JKT ndio ita show way kujiunga na vikosi mbalimbali vya kijeshi hapa nchi.
Mfano leo Vijana wa JKT wameondoka ktk kambi ya ITENDE Mbeyakuanza mafunzo ya JWTZ ktk kambi ya MAFINGA na kambi zingine za JKT Source fro insideITENDE COMBAT.
NAWATAKIENI MAANDAALIZI MEMA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!