Nafasi ya kujiunga na hiyo JKT INAPATIKANA WAPI??
Mwezi wa tano au wa sita!!!!!!!!!!! hawa walioenda kwa mujibu wa sheria ni miezi m3 tu xo subiri na endelea kupitia website hii Jeshi la Kujenga Taifa and soma matangazo utaona tu huo ndo ushsauri wangu wa kwanza.Ushauri wangu wa pili uwe mtafiti sana wa kutembelea afisi za wilaya yako ktk kamati ya ulinzi na usalama utapa info and not rumors plz maranyi humu ndani utakuta rumors na watakukatisha tamaa xana so stand up and do it for your self and you will achieve your plans and goals
To achieve ur plans and goals through being employed? Bongo au? Think big let people do their own bussiness and make money dont shape people's mind. Kwanza JKT maana yake nini?