msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,203
- 7,720
Tulivokuwa chuo tulikua tunaongea sana bila kujua hali ikoje mtaani...et nikimaliza chuo nafuga kuku ndani ya mwaka nakua tajiri..mara ohh sifanyi kazi bila mshahara wa milion..sijui nani ananifaham nikimalza tu chuo nampigia simu napata kazi .hahahah.