Baba mzazi,sitaki kubishana na great thickers,what i said is true,muda utafika mtapata majibu
uwoga wako ndio umaskini wakoHabari wana JF,
Azania Bank plc wametoa Kazi mbalimbali to the public,vijana waapply,Lakini ukweli na undani wa kazi zile tayari zina watu ambao wako pale internship for a long time,usijisumbue kuharibu muda wako.
Jaribuni but hizo pesa stationary ni bora mtoe sadaka,Ajira za Bank ni ngumu sana kama hujulikani,Zaid ya CRDB,kwingine kote kujuana tu,even CRDB kidogo unaweza pata kwa interview
Acha ku-generalize kuna banks kibao wanaajiri bila longo longo wala kujuana...
we vipi kwanini utukanye tusijaribu bahati yetu? au wewe ni mmoja wa hao walio kwenye internship sasa unatukatisha tamaa tusiapply? mimi nitaapply ili nikose nihakikishe na sio kuletewa na kushawishiwa na watu!Habari wana JF,
Azania Bank plc wametoa Kazi mbalimbali to the public,vijana waapply,Lakini ukweli na undani wa kazi zile tayari zina watu ambao wako pale internship for a long time,usijisumbue kuharibu muda wako.
we vipi kwanini utukanye tusijaribu bahati yetu? au wewe ni mmoja wa hao walio kwenye internship sasa unatukatisha tamaa tusiapply? mimi nitaapply ili nikose nihakikishe na sio kuletewa na kushawishiwa na watu!