Ajira Azania Bank usijiangaishe

Ajira Azania Bank usijiangaishe

kwani hapa jf haturuhusiwi kumtaja au kuwataja watu wanaoenda kinyume na taratibu zilizowekwa?kama ndivyo mi sitakuwa tena na imani na jf. Kama mtu anakiuta taratibu zilizowekwa mahali au kazini ambazo zinarudisha maendeleo ya nchi au ya watz ATAJWE HUYO HAFAI KTK JAMII YETU.Kumtaja legal officer sioni kama ni kosa kama ni kweli hufanya au kafanya hivyo, wangapi hufanya hivyo hawajatajwa? TUWATAJE TU KULIPONYA TAIFA LETU.

Mkuu labda yeye ndio the said Officer kwaiyo anajaribu ku-escape!
 
ya Mungu mengi bora mtu ujaribu kuomba hata kama utakosa ni poa kuliko kuto apply kabisa
 
Anataka msitume,atume mwenyewe competition iwe ndogo...acha watu waombe,usiwakaririshe watu mifumo yako ya maisha!
 
Habari wana JF,
Azania Bank plc wametoa Kazi mbalimbali to the public,vijana waapply,Lakini ukweli na undani wa kazi zile tayari zina watu ambao wako pale internship for a long time,usijisumbue kuharibu muda wako.

Ni kweli kujuana kupo,Ila humu kwenye ma Bank watu wanaacha sana kazi,.Na sio wote wanaofanya Internship hapo kua watapenda kufanya kazi ktk Bank hiyo,na wengine perfomance zao za internship sio nzuri huachwa, na watu wa nje walioomba na kukidhi vigezo wanachukuliwa.

Mungu yupo,Mtu hata awe na ushetani kiasi gani kuna wakati anasali na anatoa sadaka na pia kusaidia watu,Kuna muda unatokea (mara nyingi tu) hawa HR huwa hawamwangalii kua huyu ni nani na wanaangalia vigezo vya uwezo wa mtu,na wanatoa kazi bila majungu yoyote.
WENYE VIGEZO OMBENI KAZI!!!
 
Kuna kampuni ngapi zenye legal officers ndugu?? mimi sijataja the said organization and that said im not liable for any..

Sidhani kwa jinsi ulivyokuwa unadefend,ulikuwa unazungumzia mtu wa nje ya Azania..that's why the guy naye akataka akuoneshe the seneority of watu you know therein.
 
kwani hapa jf haturuhusiwi kumtaja au kuwataja watu wanaoenda kinyume na taratibu zilizowekwa?kama ndivyo mi sitakuwa tena na imani na jf. Kama mtu anakiuta taratibu zilizowekwa mahali au kazini ambazo zinarudisha maendeleo ya nchi au ya watz ATAJWE HUYO HAFAI KTK JAMII YETU.Kumtaja legal officer sioni kama ni kosa kama ni kweli hufanya au kafanya hivyo, wangapi hufanya hivyo hawajatajwa? TUWATAJE TU KULIPONYA TAIFA LETU.

Unajua unaweza ukamkuta mtu kapigwa porini kiasi cha kufa...ukataka umsaidie kwa kumpeleka hosp kuokoa maisha yake....morally utakuwa right but legally inaweza kukutia hatiani...
The same applies kuwa nia yake ni kukujuza kinachoendelea kwao na sio kukupitisha njia za panya....ila unaweza kumletea matatizo...it might be you!
 
Mkuu labda yeye ndio the said Officer kwaiyo anajaribu ku-escape!

Dont live in assumption....jaribu kuwa mtu wa kusoma sana....kufuatilia na kujua dunia inaendaje...
Think without a box
 
ayo mambo yapo sana mfano ttcl walitangaza nafasi za kazi wanaitaji watu 9 lakini hao watu wapo tayari washaandaliwa kabisa inakatisha tamaa sana sjui tutabadilika lini na kuacha kubebana kwa undugu
 
jaribu ACCESS BANK.. wako fair sana sema tunachagua sana kazi thats y inakuwa ngumu kupata.
 
Ni katika kujaribu, mimi nilibahatika kufanya interview kwa njia ya simu UK kwa nafasi ya kazi Horn of Africa, Ndoto zangu lazima nijefanya kazi Dubai (Professional job)
 
wewe unaemwambia mwenzio ajaribu crdb wako fair nani kakwambia,,pale ni undugu na kujuana .kiufupi hua hawatangazi kazi na maelezo yao ni kua wanaajiri kupitia organization moja inaitwa AISEC ukiwa member huko possibility ya kupata kazi ni kubwa na pia unaweza tuma maombi kupitia posta lkn jiulize hadi ww wa posta yafike yatakua considered lini wakati kuna wafanyakazi wameshapeleka cv za ndugu zao kwa HR .bora hata hao wanaotangaza nafac. NA ndugu yangu unaesema lazima kufaulu hesabu nani kakwambia mimi niliambulia u teller katika bank moja (jina kapuni) lakini nina f ya hesabu ila nilisoma commerce na bookkeeping o_lever na nikapass hayo ndiyo yaliyonisaidia ni hayo tu wadau.

SHORTCUT IS A WRONG CUT BUT SOMETYMZ MAY HELP YOU
 
Kwani nini maana ya "Apply''? Yanaweza kukubalika au kukataliwa hayo maombi.Kwa hiyo hakuna haja ya kuogopa.
 
anayoyasema mkuu hapo ni kweli,ila kujaribu sio kushindwa.
Kiufupi hizo nafasi zimeishajazwa tayari.Mie ni mshauri elekezi na ninfanya kazi na banks ikiwamo hiyo azania,lkn walipotangaza hizi kazi niliuliza ili kama kweli zipo basi nimfanyie mchakato ndugu yangu ila jamaa wakanihakikishia kuwa hakuna nafasi iliyowazi ila kwakuwa tulikuwa kwa simu ikabidi nifike pale mawasiliano tower na nikahakikisha,nikatulia ila jaribuni maana hira huwa zinashindwa
 
Kama kaka yako Ni branch manager basis Mimi kaka Yangu ni "Tree Manager"😱
 
mbona watutisha sisi tulio omba kazi ila ni kumtegemea Mungu tu ila nalo unalosema linamaana sana maana pia hawawezi kuwaacha ikiwa wamekaa nao vizurii
 
Back
Top Bottom