Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,386
Was that a logical argument for hs comments Sir?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
He's post is totally insane probably he's minor..
Was that a logical argument for hs comments Sir?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kwani hapa jf haturuhusiwi kumtaja au kuwataja watu wanaoenda kinyume na taratibu zilizowekwa?kama ndivyo mi sitakuwa tena na imani na jf. Kama mtu anakiuta taratibu zilizowekwa mahali au kazini ambazo zinarudisha maendeleo ya nchi au ya watz ATAJWE HUYO HAFAI KTK JAMII YETU.Kumtaja legal officer sioni kama ni kosa kama ni kweli hufanya au kafanya hivyo, wangapi hufanya hivyo hawajatajwa? TUWATAJE TU KULIPONYA TAIFA LETU.
Habari wana JF,
Azania Bank plc wametoa Kazi mbalimbali to the public,vijana waapply,Lakini ukweli na undani wa kazi zile tayari zina watu ambao wako pale internship for a long time,usijisumbue kuharibu muda wako.
Kuna kampuni ngapi zenye legal officers ndugu?? mimi sijataja the said organization and that said im not liable for any..
kwani hapa jf haturuhusiwi kumtaja au kuwataja watu wanaoenda kinyume na taratibu zilizowekwa?kama ndivyo mi sitakuwa tena na imani na jf. Kama mtu anakiuta taratibu zilizowekwa mahali au kazini ambazo zinarudisha maendeleo ya nchi au ya watz ATAJWE HUYO HAFAI KTK JAMII YETU.Kumtaja legal officer sioni kama ni kosa kama ni kweli hufanya au kafanya hivyo, wangapi hufanya hivyo hawajatajwa? TUWATAJE TU KULIPONYA TAIFA LETU.
Mkuu labda yeye ndio the said Officer kwaiyo anajaribu ku-escape!
Wakati mwingine msiwe mnakata tamaa kiasi hicho,jaribu huwezi kujua!