rigobert
Senior Member
- Jan 20, 2010
- 137
- 58
Kibank chenyewe cha kimaskin!
mmmmmh...benki ipi ya kitajiri!!!hizi ajira zina balaa..
Kibank chenyewe cha kimaskin!
Habari wana JF,
Azania Bank plc wametoa Kazi mbalimbali to the public,vijana waapply,Lakini ukweli na undani wa kazi zile tayari zina watu ambao wako pale internship for a long time,usijisumbue kuharibu muda wako.
Huyo Rafiki yako aliyepigiwa simu na Legal Officer,Endapo atapata kazi Azania,basi naomba wanajamii msiniamini Tena hapa Jamvini,Ukweli ndio huwoo,Licha ya yote hayo,kaka yangu ni branch Manager
Huyo Rafiki yako aliyepigiwa simu na Legal Officer,Endapo atapata kazi Azania,basi naomba wanajamii msiniamini Tena hapa Jamvini,Ukweli ndio huwoo,Licha ya yote hayo,kaka yangu ni branch Manager
Hawa ndo watu ambao hawatakiwi katika jamii.
Kuapply ni kupoteza muda bureee, nshaaply hadi nmechoka" cku hz ni who you know sio what you know
Hawa ndo watu ambao hawatakiwi katika jamii.
Point yako hapa hasa ni ipi?? mimi kuna jamaa yangu kapigiwa simu na legal officer akamuambia atume maombi chap!!
aisee ungeniorodheshea nipeleke apllications zangu.
Nisaidie kwa hilo
It is unethical....kutaja jina au position ya mtu kwa sababu if anything leaks in the near future could be accountable.
Huyo Rafiki yako aliyepigiwa simu na Legal Officer,Endapo atapata kazi Azania,basi naomba wanajamii msiniamini Tena hapa Jamvini,Ukweli ndio huwoo,Licha ya yote hayo,kaka yangu ni branch Manager
You are mentally impaired..
Jamani si muwekemo uto tuajila na wengine tujipime.Habari wana JF,
Azania Bank plc wametoa Kazi mbalimbali to the public,vijana waapply,Lakini ukweli na undani wa kazi zile tayari zina watu ambao wako pale internship for a long time,usijisumbue kuharibu muda wako.
Kuna kampuni ngapi zenye legal officers ndugu?? mimi sijataja the said organization and that said im not liable for any..