Ajali?

Ajali?

Bado tuna safari ndefu sana kuelekea mapinduzi ya viwanda sayansi na teknolojia
Hasa kama masaa yote tunawaza mambo ya kichawi na kishirikina na kupost thread zinazosapoti mambo hayo ambayo yanasomwa na rika la umri tofauti tofauti humu JF ndio safari inazidi kua ndefu zaidi!

Kizazi ambacho ndio kinategemewa kuja kuliendesha taifa kinakua kinaaminishwa mambo ya kufikirika,uchawi,mashetani na ushirikina! kwa kutungiwa vi thread humu!!

Kumbe na wewe unajua kua hii dunia kuna viwanda,sayansi na teknolojia? Au umekusudia ile sayansi ya kupaa na ungo?
 
Kuna mambo mengi sana yanayohusu gas ya Mtwara na madhira yake hayasemwi.Hii ilikuwa ni Mtwara wakati wa vurugu za gas.Kifaru cha Jeshi kiliingia kwenye nyumba ya mtu na kubomoa sehemu ya nyumba.
Licha ya kuwa njia ni kubwa lkn dereva alisema alikuwa anaona barabara nyembamba kama kamba kiasi akawa haoni mbele.

Watu wa kusini hatari sana,Polisi wengi wamekufa sana huko kusini kimiujiza,Wanajeshi pia wamepoteza,mpaka Dangote akaja na "Team ya ufundi" toka Nigeria.Kusini ni hatari sana
 
Kuna mambo mengi sana yanayohusu gas ya Mtwara na madhira yake hayasemwi.Hii ilikuwa ni Mtwara wakati wa vurugu za gas.Kifaru cha Jeshi kiliingia kwenye nyumba ya mtu na kubomoa sehemu ya nyumba.
Licha ya kuwa njia ni kubwa lkn dereva alisema alikuwa anaona barabara nyembamba kama kamba kiasi akawa haoni mbele.

Watu wa kusini hatari sana,Polisi wengi wamekufa sana huko kusini kimiujiza,Wanajeshi pia wamepoteza,mpaka Dangote akaja na "Team ya ufundi" toka Nigeria.Kusini ni hatari sana
Umenikumbusha yule bibi sijui bado yupo? (hai)
 
Hiyo picha ya zamani saivi hapo yanaingia magari yanayotoka dangote na simenti
 
Back
Top Bottom