Ajali?

Ajali?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,942
Reaction score
845,935
1472116189690.jpg
 
Bado tuna safari ndefu sana kuelekea mapinduzi ya viwanda sayansi na teknolojia
Ni kweli kabisa, kundi hili ambalo ndiyo kundi kubwa, linatembelewa na viongozi wakati wa uchaguzi, wanapelekewa khanga, vitenge, kofia, na T-shirt. Wakiugua ugonjwa wowote zahati ina paracetamol. Watoto wao wataishi katika maisha hayo hayo, kwababu St Kayumba ina upungufu mkubwa wa walimu.
 
Kuna kitu nakiwaza mfano hela za escro+richmond+iptl etc hela zote zingetengeneza nyumba ngapi za wananchi vijijini wenye mfano wa nyumba hiyo?
 
[size]Kuna kitu nakiwaza mfano hela za escro+richmond+iptl etc hela zote zingetengeneza nyumba ngapi za wananchi vijijini wenye mfano wa nyumba hiyo?[/size]
Tena wangeweka utaratibu wa nyumba 5 kwa mwaka, na vijiji ambavyo havifikii malengo mtendaji na mwenyekiti wanawajibishwa.
 
Tena wangeweka utaratibu wa nyumba 5 kwa mwaka, na vijiji ambavyo havifikii malengo mtendaji na mwenyekiti wanawajibishwa.
Ni wazo zuri lakini kwa watanzania hawa niwajuao wanaweza wakaacha kufanya kazi na kusubiri nyumba za bure..
 
Back
Top Bottom