Jamii forum bwana! muda mwingine unafiki wa watu humu unapanda hadi geji ya mwisho, ni vibaya sana...
Mbaya zaidi hakuna aliyeongelea ajali imetokeaje kuonyesha nani alikua ana makosa kati ya Mzungu na hao Bodaboda 3 ( Mungu awarehemu).....
Assumptions zilizotengenezwa hapa nyingi ni za Ki layman tu, eti kosa la bodaboda! mbona mnapenda kugeneralize, mnajua uchungu walionao hao waliowapoteza wapendwa.wao?
Kwani boda boda wote hapa Tanzania wanaendesha vibaya, bodaboda zimeanzia Tanzania kwani? afu nyie wenyewe wanafiki humu ndio wa kwanza kupanda, iambie serikali yenu iweke mikakati mizuri jinsi ya kuwahandle bodaboda na sio blabla za kinafikifiki tu, hiyo ni ajira na wanasomesha kama nyie mnavyofanya....
Eti wangetumia nguvu hiyo kwenye issue ya Escrow, nyie mmefanya nini cha maana zaidi ya kutoa mapovu nyuma ya keyboard! kwani hili ni taifa la bodaboda, huu ugonjwa wa kutupiana mizigo ndio unaofanya mpaka wezi wanakwiba tu.....